jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
jf.
Daah. Mada ya muhimu kama hii hamjaipa kipaumbele zaidi ya upuuzi wa wanasiasa?
Mnasikitisha sana.
Hapa ndipo jf ilipofika?
Nawauliza, mnajuwa kuhusu maji na umuhimu wa maji kwa mtanzania? Na au mwingine yeyote duniani?
Leo tunashindwa kujadili utapeli wa wachache unaohusu maji! Au ni kwa kuwa wote mnaoingia humu mna uwezo wa kununuwa maji? Au kuyapata maji bila "effort"?
Inasikitisha sana.
ccm hoyeeeeeee!
January Makamba amegawa misimu kibao ili waje kutoa michango ya hovyo hovyo, usishangae JF kufika hapa.