Recent content by kaswalala

  1. kaswalala

    CHADEMA: Hatutashiriki Kongamano la Amani la TCD, limefadhiliwa na CCM!

    Da! kazi ipo nilimaanisha wawakilishi wa wadau wa amani wengine kama taasisi za dini badala ya kulundika wanasiasa peke yake.
  2. kaswalala

    CHADEMA: Hatutashiriki Kongamano la Amani la TCD, limefadhiliwa na CCM!

    MKUU achana na maana ya TCD kinachozungumziwa na CHADEMA ni agenda yenyewe kuwa kama kunadhamira ya dhati ya kutafuta amani ni vyema kushirikisha wadau wote wa amani na sio TCD peke yake. Tatizo la serikali yetu ni kuweka mbele siasa kuliko ukweli.
  3. kaswalala

    Operesheni Nusuru CHADEMA,Mbowe na Zitto waong'oke

    Hivi wewe hutumii hata akili kwanza kabla ya kuongea ulichotumwa? yaani huoni mafanikio ya chadema! sikutukani ila amka kwenye huo usingizi ulilolala nawasiwasi na ufahamu wako. Da nilisahau hebu someni jina la huyu alieleta post hii, nahisi harufu ya kule Tanga.
  4. kaswalala

    Operesheni Nusuru CHADEMA,Mbowe na Zitto waong'oke

    Nilijua mwanachama kumbe ni shabiki tu, da! umekurupuka, chadema hawako hivyo.
  5. kaswalala

    jamani nyie wanaume

    Da! pole dada yangu kwani kidonda cha mapenzi huwa kinauma sana kuliko kidonda cha moto, nachoweza kukushauri ni kujitambua kuwa utu wako unathamani kiliko huyo mwanaume, kama amesema hakutaki basi usipoteze mda sana kwake wewe fanya hivi, achana nae endelea na shughuli zako ipo siku mungu...
  6. kaswalala

    Wananchi wa Kawe walia na upinzani

    Mdau nasikitika sana kwakuwa huna takwimu za jimbo la kawe, unaelezea eneo moja la kawe tu ila jimbo la kawe ni kubwa sana, mimi nimeishi tegeta kwa miaka mitano wakati mbunge wake ni Lita Mlaki na mpaka tunafanya kampeni ya kuiondoa madarakani ccm pale kawe nilikuwepo nakumbuka vizuri tu...
  7. kaswalala

    Kweli Tanzania inahitaji Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya?

    Ndugu zangu wa jf naomba kwa mara nyingine tena tujadili kwa kina nafasi za wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya, mpaka sasa bado sijaua hasa wanawajibika kwa nani? wananchi, chama tawala au kwa anayewateua kwa mujibu wa katiba ya Tanzania? Nianze na kuchambua nafasi zao wakiwa ndani ya chama...
  8. kaswalala

    CHADEMA waanza kuweweseka na uchaguzi wa Arusha tar 14 Julai 2013

    [CHADEMA subirini vipimo kwa mazingira yaliopo Arusha "hata mlie mtashindwa na, hata msipolia mtashindwa] Ndugu kwanini watanzania hatupendi kusema ukweli, dhambi ya uongo italiangamiza taifa hili, mimi ni mkaazi wa Dsm wiki iliyopita nilikuwa Arusha kwa takribani wiki moja nimejionea mwenyewe...
  9. kaswalala

    TAARIFA:Uchaguzi wa Arusha huenda ukavurugwa tena kwa makusudi

    Tunashukuru kwa taarifa mkuu, sisi wapenda amani hatutokubali kushuhudia watu wanafanya fujo kwa kutafuta maslahi binafsi tutapambana mpaka mwisho huwa naamini sana kwenye ukweli huu, kuwa ukitaka kujenga ni lazima kwanza uharibu mazingira yaliyopo ambayo unataka kuweka kitu kipya ambacho...
  10. kaswalala

    Bungeni: Wabunge wa CHADEMA waambiwa wameenda kwenye maandamano.

    ndugu kabla hujatoa maada hebu basi tafakari kidogo usifanye ushabiki. Tafuta historia ya wanaukombozi wote duniani maisha yao yote ni ya kudhihakiwa tu, daima ukisimama kwenye ukweli utachukiwa tu , watu hawapendi ukweli, mzee mandela, mwl. nyerere hata bwana yesu pia alizihakiwa, lakini mwisho...
  11. kaswalala

    Askofu ambomoa Dk. Slaa, amuonya na dhambi ya uzinzi!

    Askofu makini haropoki pasipo kufikiria kwanza kuongelea personal issues haina tija kama wameenda kuhiji au vipi mungu ndie atakayehukumu na sio mwanadamu, hizo hela za misaada ya kifisadi ya waziri mkuu aliejiudhuru zitawashushia heshima viongozi wengi wa dini wasipokuwa makini. kwani ndoa ni...
  12. kaswalala

    Sintofahamu ya Katiba ya CCM

    HABARI NDUGU ZANGU WAPENDA MAENDELEO YA NCHI HII, BINAFSI HUWA NAPENDEZWA SANA HASA NINAPOSHUHUDIA VIJANA NA WATANZANIA KWA UJUMLA WANAPOPATA MDA WA KUZUNGUMZIA SIASA YA NCHI YAO, NI LAZIMA TUFAHAMU KWAMBA SIASA NDIO MSINGI WA MAENDELEO, MIFUMO YA KISIASA NDIO IMESHIKILIA MIFUMO YOTE YA UCHUMI...
  13. kaswalala

    Lema na Mbowe wajichanganya

    Binafsi sioni kama wamejichanganya, kila mtu yupo huru kutoa mtazamo wake, wangesema wote sawa mngesema wamepanga, kila mmoja alizalwa peke yake na atakufa peke yake, ukisimama kwenye haki na ukweli, daima utapendwa na walimwengu. " SERIKALI HAIKISHTUSHWA NA MLIPUKO...
  14. kaswalala

    Mtikila: Tamko DPP juu ya bomu lililolipuliwa Arusha - CHADEMA wanatafuta Ushindi kwa kura za Huruma

    Du! yataongewa mengi sana, mchungaji ameonyesha kuwa anakisasi cha mda mrefu na chadema, hana jipya. yeye si mzee wa kesi akwashtamaki basi kama anaushahidi na anayoyasema.
  15. kaswalala

    Mtikila: Tamko DPP juu ya bomu lililolipuliwa Arusha - CHADEMA wanatafuta Ushindi kwa kura za Huruma

    Du! yataongewa mengi sana, mchungaji ameinyesha kuwa anakisasi cha mda mrefu na chadema, hana jipya. yeye si mzee wa kesi akwashtamaki basi kama anaushahidi na anayoyasema.
Back
Top Bottom