Lema na Mbowe wajichanganya

Lema na Mbowe wajichanganya

Binafsi sioni kama wamejichanganya, kila mtu yupo huru kutoa mtazamo wake, wangesema wote sawa mngesema wamepanga, kila mmoja alizalwa peke yake na atakufa peke yake, ukisimama kwenye haki na ukweli, daima utapendwa na walimwengu.

" SERIKALI HAIKISHTUSHWA NA MLIPUKO, NDICHO KINACHONIPA MASHAKA"
 
Si kweli sasa wanajichanganya vp...?au TBC HAWAJAELEWA.?... UNAJUA..MBOWE, GODBLESS LEMA, NA CHADEMA KISHERIA NI VITU TOAUTI...KAMA MBOWE ANAO SIO LAZIMA LEMA AWE NA USHAIDI AU SIO LAZIMA CDM WAWE NA USHAIDI....mbowe anaweza kuwa nao lakini hajampa godbless lema...mbowe ndo alisema anao sijaona lema akisema ana ushaid...sijui kam watoto wa ccm watanielewa..maana wao hawezaji kutofautisha kati ya kazi za serekali na za chama..
 
Wewe soma tanzania daima ikibidi uza mandazi wenzio wauze karanga,lema hayupo sawa kichwani mbowe na vile mwenzangu na mimi.


Join Date : 15th June 2013
Posts : 214
Rep Power : 343
Likes Received20
Likes Given3




mtakuja na ID nyingi kweli humu jamvini, haya kesho wahi buku saba zako lumumba fasta kabla Mwigulu hajaenda kuzitumia kumchapia bibie Shoza.
 
Wakitoa maelezo polisi Lema alisema polisi hawahusiki na bomu na hawana ushaidi wowote . alipofika Mbowe akasema wanausika na wanao ushaidi. Lema alipoulizwa tena akasema kama mwenyekiti kasema wanao basi sawa ila yeye hajuhi.
source: Tbc habari sa 2

Sasa kosa liko wapi? Kwani ni lazima uliondikisha polisi ndo useme mahakamani! Afu Mbowe na Lema ni watu wawili tofauti kama mimi na wewe. Kama ulitaka wafananishe kila kitu ungemwambia Changoja kuwa tunamtafta Mhe: Mbowe or Mhe:Lema mmoja wao.
 
Wewe utakuwa unafiwa matakoni, naiweka R kwa mbali kidogo na ban sipati wala nini..!
 
wanaweza kuwa ni askari waliovaa jezi za polisi na wasiwe polise..polisi wanahusika kutetengeza mazingira na kutoa facilities(wamesaidia gaidi na kuwafanya kuwa magaidi), na wauaji kuwa kikosi maalumu.
 
Ungetazama star tv japo ni ya kada nafikiri hiyo source yako tbccm ungekuwa unatazama vipindi vya dini au zamakale lakini sio taarifa za habari
 
Chadema kila mmoja anaropoka kivyake.
 
Chadema haijawahi kukurupuka kama Mwigulu na Lusinde.Tambua Lema sio msemaji wa chama ndio maana alimwachia mwanyekiti,acha Uzumbukuku!
 
Ngoja niwape darasa kidogo vijana wangu,mnajua mheshimiwa Lema na Mbowe walikana polisi kua hawana ushahidi wowote na hayo mambo hawajasema,unajua kwa nin?waliamua kusema hivyo ili wasije wakabidhi vithibitisho hvyo kwa polisi na ambapo polisi ni watuhumiwa....hvyo wanachotaka ni kuundwa tume huru ili wachunguze suala hili wakiipa kampani viongozi wa Cdm,hiyo ndio pointi ya msingi,nadhani kwa wanasheria wanalijua hili.
 
Wakitoa maelezo polisi Lema alisema polisi hawahusiki na bomu na hawana ushaidi wowote . alipofika Mbowe akasema wanausika na wanao ushaidi. Lema alipoulizwa tena akasema kama mwenyekiti kasema wanao basi sawa ila yeye hajuhi.
source: Tbc habari sa 2

hawa ndiyo tuwape nchi! Bora tumpe Kabeho Mongson
 
Dah! Umechalewa kwani ofisi zimefungwa. Buku 7 itakuwaje sasa?

Lema yupo sawa....................... ndiyo maana katufundisha kuushinda WOGA!

Muulize Chagonja then majibu um copy Nchimbi na Pinda.

we ni kondom ya lema utaishia kutupwa chooni.
 
Huoni hata HAYA na akili yako yote, bado UNANGALIAAGA TBC1? KWELI AKILINI MWAKO HAMNAZO KABISA,
TBC1 WAKITANGAZA HATA KWAMBA MWISHO WA DUNIA UMEFIKA SITAKAA KAMWE NIAMINI SEMBUSE NIANGALIE UPUUZI UNAOTANGAZWA NA MAKACHANJANJA WA CCM,
SHAME UPON ALL TBC1 WATCHERS. NA MACCM YAO.
 
chanzo cha habari ndio hiki? Basi subiria mahakamani ndio utaona utamu wa hili game!!!!
sina uhakika kama kuna mtazania mwenya akili anaye tazama tarifa ya habari ya tbc.
Bila kudanganya me sikumbuki kama kunasiku ambayo nilisha wahi kutizama tbc ata sekunde moja.
Mwanzo mwisho tarifa zao ni uwongo 100%
 
Michanganyo yanini wewe, Tuulize sisi tulioko jikoni,kama ni Akili basi,Mbowe na Lema wana wazidi maofisa wa POLISI wote Nchi hii,wameachwa wametoa macho Ng'waduuuuu!!!! CHADEMA INA VIONGOZI WENYE AKILI NZURI UKITAKA KUJIFUNZA TULIA CHADEMA.
 
Back
Top Bottom