Habari za jioni Watanzania wenzangu.
Kwa miaka ya hivi karibuni mpira wa Nchi yetu umechangamka sana. Vilabu vyetu Simba na Yanga si tu vinaogopeka baki pia vinacheza mpira wa kuvutia kwa viwango vyetu vya Afrika.
Suala hili limepelekea watanzania rika na jinsi tofauti kuonesha kusupport...
Wanajamvi nimekuwa napita pita kwenye mitandao na mara nyingi unakutana na dawa za kurefusha uume, na kuna wakati uwa unaona watu wametoa ushuhuda kwamba ni kweli uume umerefuka.
Kati ya vitu sijawahi kuviamini ni haya madawa ya kurefusha au kuongeza unene wa uume, uwa naona kama ni kitu...
Wsalaam Viongozi...
Kuna nafasi ya kuwa mwandishi wa taarifa rasmi za bunge iko mezani mwa rafiki wa mdogo wangu. Kala Shavu hilo.
Sasa jana dogo ambae ni mtumishi wa umma halmashuri kaja kuniuliza "eti bro waandishi wa taarifa rasmi za Bunge wanalipwa sawa na wabunge?
Kwanza kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.