Recent content by Kasukusi

  1. Kasukusi

    Umoja wa kudai katiba mpya Tanzania (UKUKAMTA)

    Hapo ni kweli kabisa Ukizingatia, Bunge lenye Upinzani Hamna kabisa, Tusubiri amalize Miaka yake Mitano kwanza.
  2. Kasukusi

    Makabila haya yanaongoza kwa ulevi Tanzania, yanaongoza kwa akili pia

    Mtoa Maada atakuwa nae Mchaga amekuja kujionesha anachangia Pato la Taifa Kupitia Pombe, Ni kweli kabisa Wanywaji Pombe Wanaushirikiano na Mtu akilewa Mara nyingi anaongea Ukweli tu Huo ndio Msingi wa Kulewa. Ndio Maana watu wakilewa wanaanza kukutambulisha bila hata kuwauliza kazi zao Mara huyu...
  3. Kasukusi

    HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

    [emoji3] Ndio wameanza hivyo watakuja hadi kwenye Tigo Pesa, M-Pesa, Airtel Money, T-Pesa, Halopesa na mitandao mingine kibao, Tutakuwa atuweki Pesa, Pesa imeingia tu mtu umetumiwa. Ndugu mteja kiasi cha 100, 000. Kimerejeshwa kwenye mkopo wako wa Heslb Ahsante kwa kutumia Tigo Pesa.
  4. Kasukusi

    Tujiandae kurudi kwenye chukuchuku maana bei ya mafuta haishikiki

    Hiyo sio sawa kulinganisha Mafuta ya Gari na Kupikia, Watanzania wengi wanatumia Public Transportation/Usafiri wa Umma , sasa huoni hapo sio sawa. Fikiria kwa kichwa chako Gari zimefika haraka namba D kwa Ajiri ya Pikipiki. Ukitoa namba za Pikipiki, Utaona Tanzania nzima hata Gari Idadi ya...
  5. Kasukusi

    Leo siku ya tatu simuongeleshi mpenzi wangu. Ungekua ni wewe ungechukua uamuzi gani?

    Piga chini huyo haraka. Hakuna mjadala. Huyo alikuwa kwa kidume mwenzio [emoji3]
  6. Kasukusi

    Sitaki wanaume wenye pesa

    Kitabu chao hiko hapo
  7. Kasukusi

    Tumia vigezo hivi vitano (5) kuichuja njia ya polepole na nyinginezo za kuelekea kwenye mafanikio yako na utajiri

    Kwa nchi yetu ya Tanzania kunachangamoto kwa Wasomi wengi au Familia nyingine zinaaminisha kuwa mtu akisoma ni lazima aweze kuajiliwa na kuwa na Maisha Mazuri, Na kuna aina ya Familia zinawajengea kijana toka akiwa anasoma na kumfundisha pia Elimu ya maisha ya Kutokutumia vyeti vyake...
  8. Kasukusi

    Week moja baada ya kwenda kavukavu na demu wangu, leo kanitumia hii message

    Naunga mkono Hoja kwa asilimia 100%. Huu ndio ushauri mzuri, kwa kujali afya yako
  9. Kasukusi

    Wanawake hawapendi kutumia condom

    Vaa Condom Kijana, Magojwa ni Mengi, Jali afya yako kama Unapenda kavu pima na mpenzi wako tena kuna vipimo vile vya uwakika vinavyo tambua Magojwa kwa haraka sana
  10. Kasukusi

    Suma JKT wadaiwa kusababisha kifo kwa kutoa kipigo kwa Abdul Ahmed "Bosnia" wa Tanga

    Huyu ni Nanga mwengine, Mwanajeshi lazima uwe na nidhamu na utii bila kuchukua sheria mkononi, Wafiwa wafuate utaratibu wote hao watachukuliwa hatua za kisheria. Jeshi alifundi kupiga raia bila sababu maalumu ya kuhatarisha amani
  11. Kasukusi

    Hivi wanawake ni wasahaulifu au huwa wanajisahaulisha

    Hii kweli kabisa, [emoji1] yamekukuta nini
  12. Kasukusi

    Mpenzi wangu kagoma kuzama chumvini kwasababu ya cheo chake kazini

    Boss kaona Hakuna sababu ya kula chumvi ambayo haina radha, ni sawa na Panya anapo kimbizwa na binadamu anaweza kuzama hata shimo sio lake akakutana na nyoka mwenye Harufu kali sana
Back
Top Bottom