Kama majibu yenyewe ndo kama haya yanayoendelea kutolewa kwamba mtu fulani ndo kasababisha au chama fulani, nadhani mtoa mada Ana kazi ngumu kupata jibu, kwani hao waliofanikiwa tunajua ni chama gani, bado elimu yetu haijatoa ufumbuzi kwa hii mada
Hapa ndipo utakapogundua watu wenye mawazo ya kishabiki bila kujua athari za vita. Marekani sio kwamba anashindwa kuivamia Korea ya kaskzn, kama yeye mwenyewe anaogopa athari za vita hiyo sembuse wewe? Kama vita ingekua inachagua tungewaombea wanaoshabikia iwazoe kabisa. Tuombe Mungu visitokee
Jamani tuwe wakweli, kuna siasa gani hapo, hiyo ilikuwa nyumba ya kupanga sio ya mtu binafsi, umeshindwa kulipa bili wenyewe wafanyeje, kwani wamekaa pale kwa muda gani, wacha jengo lijengwe la kisasa zaidi, tujifunze kulipa pango kwenye majumba ya kupanga.
Sent from my SM-N900 using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.