Tatizo la LUKU kuisha haraka

Mtafute mtaalamu wa umeme aliye karibu nawe atakusaidia.
Hilo tatizo huwenda likasababishwa na mojawapo ya haya;
1. Wiring system ya nyumba yako imechoka, inahitajiwa kukarabatiwa upya na hili husababishwa mara nyingi na open circuits na umeme kupotea mwingi sana (electric leakage)
2. Earth mbovu, jaribu kuangalia earthing system huenda imechoka
3. Jaribu kufanyia investigation vifaa unavyo tumia mfano friji n.k


Hayo yote tafuta fundi mzuri wa wiring atakusaidia
Hii kitu ni changamoto sana ,Mimi nahisi lazima kuna kitu kinafanyika mwenye hii mifumo ya umeme.Mfano Mimi nilikuwa na tatizo hilohilo nikaambiwa hayo yote ,baadae nikawaita mafundi nikabadilisha earth system,check wiring zote mwanzo mwisho lakini tatizo lipo palepale.
 
Jamani mbona sasa hivi LUKU zinaisha mapema sana tofauti na zamani au tatizo lipo kwangu ,

Zamani nikiweka Umeme wa elfu 20 unakaa mpaka mwezi lakini sasa hivi unakaa almost wiki mbili mpaka wiki tatu ,

Na hakuna kitu kipya ambacho kimeongezeka na matumizi ni Yale Yale ya kila siku.

Jamani hili tatizo ni kwangu tu au hata kwako ulipo nayo ni hivyo hivyo
Kiongozi nami naungana na wewe luku inaisha haraka sana siku hizi kunatakuwa na tatizo kwenye system yao ya luku
 
Hii kitu ni changamoto sana ,Mimi nahisi lazima kuna kitu kinafanyika mwenye hii mifumo ya umeme.Mfano Mimi nilikuwa na tatizo hilohilo nikaambiwa hayo yote ,baadae nikawaita mafundi nikabadilisha earth system,check wiring zote mwanzo mwisho lakini tatizo lipo palepale.
Basi metre itakuwa na tatizo
 
Inawezekana kuna tatizo kwenye earth system.... either hakuna unyevu kwenye eart rod au wiring system ina shida. jaribu kuhakikisha pale earth wire inapofukiwa (earth rod) unapamwagia maji mara kwa mara pawe na unyevu.... ikiendelea kuwa hivyo cheki na fundi
Earthing system ikiwa mbovu ina husianaje na kulika na umeme?
Na kumwagia maji kuna imarisha nini kwenye mfumo wa earthing..
Nathani unapaswa kujua kwanza kazi ya earthing.
 
Hii kitu ni changamoto sana ,Mimi nahisi lazima kuna kitu kinafanyika mwenye hii mifumo ya umeme.Mfano Mimi nilikuwa na tatizo hilohilo nikaambiwa hayo yote ,baadae nikawaita mafundi nikabadilisha earth system,check wiring zote mwanzo mwisho lakini tatizo lipo palepale.
Na mafundi uchwara ndio fursa yao hii huko mtaani kuwa piga watu hela....
Hawafanyi utafiti vizuri wanaishia kusema tu mfumo wa earthing ni mbovu...
Hutaona akipiga hesabu za ya vitu vyako na matumizi yake kwa siku kwanza kuona unapaswa kiasi cha unit kwa siku kulingana na matumizi yako
 
Hii kitu ni changamoto sana ,Mimi nahisi lazima kuna kitu kinafanyika mwenye hii mifumo ya umeme.Mfano Mimi nilikuwa na tatizo hilohilo nikaambiwa hayo yote ,baadae nikawaita mafundi nikabadilisha earth system,check wiring zote mwanzo mwisho lakini tatizo lipo palepale.
Upo wapi
 
Jamani mbona sasa hivi LUKU zinaisha mapema sana tofauti na zamani au tatizo lipo kwangu ,

Zamani nikiweka Umeme wa elfu 20 unakaa mpaka mwezi lakini sasa hivi unakaa almost wiki mbili mpaka wiki tatu ,

Na hakuna kitu kipya ambacho kimeongezeka na matumizi ni Yale Yale ya kila siku.

Jamani hili tatizo ni kwangu tu au hata kwako ulipo nayo ni hivyo hivyo
Mkuu Kwanza Kabisa Kabla Ya Kuanza Kulalamika Angalia Uko Kwenye Matumizi ya Kiwango gani
Mfanya Biashara Ama Mtu wa Kawaida Means Tariff 1or Tariff 4 dhen Uendelee Na Mengine Ya EarthCircuit______
Tatizo Kwenye EarthCircuit linaweza Lisionekane Au kutatuliwa Kwa Haraka Kama Fundi Hana uzoefu wa Kutosha Kwenye Hili Sometimes Unaweza Ukafanya Fake Earthreparing Na Kila Cku Ukawa Unalalamika tu.
 
Usihofu mkuu, ikiisha mapema ongeza wa elfu 20 tena....mwezi utafika tu. Ukiisha kabla...ongeza tena

Ila unanipa wasiwasi hii imekutokea baada ya yule waziri kutenguliwa au?
 
Kama ulikuwa na deni nyuma wanakata nusu ya fedha utakayoweka,kama ukilipa kupitia max malipo kuna sehemu wanaandika Debt Recovered ile hela uliyokatwa
 
Hilo tatizo wadau mimi pia linanisumbua sana lmeanza mwez wa nne hivi. Lakn zaman umeme tukiweka wa elfu 20 tunatumia mwez na sku kadhaa sasahvi ni wki mbili tu. Nashukuru kwa majbu nmezima main switch nione itakuaje
 
Hilo tatizo wadau mimi pia linanisumbua sana lmeanza mwez wa nne hivi. Lakn zaman umeme tukiweka wa elfu 20 tunatumia mwez na sku kadhaa sasahvi ni wki mbili tu. Nashukuru kwa majbu nmezima main switch nione itakuaje
Hujawasha mpaka leo!?
 
Back
Top Bottom