Ninachofahamu zamani baada ya kumaliza darasa la saba na kufeli watu walirudia shule na kuchukua majina ya wanafunzi ambao waliacha shule na kuendelea nayo.
Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. Ni bora anayemiliki Paso kuliko wale wanaotegemea public transports maana naweza kwenda popote na kwa wakati wowote.
Inakera sana baadhi yao wanapokuwa omba omba wakati wana mishahara na posho wanatia aibu kama maisha magumu kila mtu ana maisha magumu waibane serikali iwaboreshee maslai na si kuomba omba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.