Leo kwa mara ya kwanza wananchi wa kata Nyaruyeye wamemuona mbunge wao,baadaya kupotea kwa kipindi kirefu.mkutano ulichelewesha na kwanza saa 12 kasorobo ameongea kwa mda wa dakika tano wananchi wakamzomea bc akaamua kuwapa nafasi ya kuuliza maswali kwa asilimia kubwa wananchi awakulizika la...
Fungua matawi,lkn ni vizuri zaidi kila kitogoji muwe na viongozi wa ngazi ya misingi,km waraka wa katibu mkuu wa chama anavyoimiza walau msingi uwe na wanachama 30.pokea pingezi.
Daaaah!!!! Ili nisomo kubwa hasa vijana watakaongoza baada ya kufanya mapiduzi zidi ya mafisadi, walarushwa na majangili.Makamanda wote jifunzeni sasa don't waste time.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.