Recent content by kasindaga

  1. K

    JamiiForums Tanzania Nyerere na Hayati Magufuli waliokuwa sahihi

    Magufuri aliamini vyombo vya Usalama vinatekeleza majukumu kufuata viapo vyao vya utumishi
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nyerere na Hayati Magufuli waliokuwa sahihi

    Kuthamini vyombo vya ulinzi na usalama katika kujenga Taifa la Tanzania ilikuwa sahihi. Angalia historia ya ulimwenguni misaada tunayopata Tanzania kutoka nchi za nje inatekelezwa na wanajeshi wa nchi husika. Misaada yote China kwa Tanzania inajengwa na Jeshi la China SGR uturuki ni Jeshi...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Je, karakana ndogo ya kuzalisha ‘transformer’ ndogo za umeme inaweza kuhutaji mtaji wa kiasi gani?

    Kutengeneza nguzo za zege hakuna utofauto wa kufyatua matofari au makaravati. Mnaowataja wakina DERM wamepata fursa na kuchangamka. Tatizo lazma wataalam muangalie je nguzo za umeme za nguzo ipi Bora,mashamba ya nguzo Mufindi yafungwe?Kama zege ni Bora mbona ulaya nguzo za mbao bado ni muhimu na...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kumbukizi ya Hayati Magufuli: Taasisi zote za Huduma ya Ujenzi Kufa

    Eatdco,Tba,Sumajkt,Tamesa nk wakati wa uhai wake Rais Magufuri aliamini sana utendaji wa na aliwapa miradi kuijenga badala ya kuwepo ushindanishi na makampuni binafsi.Labour Force systems ilitumika. Kwa sasa na mfumo uliopo hawawezi kupambana na makampuni binafsi hivyo yanakufa kweupe. Mfano...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Mbaroni kwa kuwalawiti watoto wake wa kiume wawili

    Wasukuma mnashida Gani si afadhali mkajammii ngombe wenu.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Semina ya walimu wiki nzima wanapewa laki tatu, hii sio Sawa

    per diem nayo inatolewa kwa kiwango . Stahiki inaenda na wadhifa na elimu
  7. K

    JamiiForums Tanzania Baada ya Dogo kumaliza Kuwekeza katika Ardhi sasa mmempeleka Utumishi ili akawapachike kwa Kumlindia alivyodhulumu

    Tatizo Tz man chuki binafsi.Ridhiwani kwanza anabebwa na shule yake. Na kama alivyo Rais wa Zanzibar. Mbn Rais wa Tz hajamteua moto wake? Uwaziri au top Posts hazisomewi. Peleka moto shule
  8. K

    JamiiForums Tanzania Semina ya walimu wiki nzima wanapewa laki tatu, hii sio Sawa

    Nafkiri posho hutolewa kwa stahiki husika. Vivyohivyo hata mishahara ukishirikisha Gani hazilingani.Hata walimu wanastahiki zao.Cheti,stashahadana madigrii mshahara na marupupurupu havifanani. Vilevile ujaribu kudadisi location wapi tukio linafanyika.Say Dodoma wa Dodoma kituo cha kazi hawezi...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Bakhresa inajishusha hadhi

    Kweli Kampuni hii imejipambanua katika kuzalisha vyakula kwa matumizi ya binadamu ulimwenguni.Wakati nikiwa Uholanzi/Amsterdam niliweza kukutana na bidhaa km unga, biscuits nk zenye nembo ya Azam/Bakhresa Tz.Nilifurahi na kupongeza juhudi za mwekezaji mzawa. Tofauti na nilivyotarajia kuona...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kuangalia video za ngono ndani ya basi siyo uungwana

    Huo ni udhalilishaji alitakiwa alipoti Polisi.Km ni burudani mbn Tz imezuia vitendo hivyo kurushwa hewani.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Dodoma: 12 wafariki na 63 kujeruhiwa kwenye ajali ya Basi la Frester kogongana na Lori

    Mchana madreva wanaendesha magari kwa ratiba, kwa hili Polisi wamefanikiwa.Usiku hakuna check points Wala Polisi.Ule muda aliopotea mchana wanafidia usiku ndio maana ajali karibu zote ni mchana.Utafutwe utaratibu rafiki utakaolinda usalama wa watu na mali zao. Haitakuwa busara kuzuia usafiri wa...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Daktari ni kiasi gani?

    Mganga wa kienyeji bei gani
  13. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia umetusahau wana Shinyanga hatuna Mkuu wa Mkoa mpaka sasa

    Wewe chapa kazi usitembelee nyota za wenziwe. Anaye kaimu anajitosheleza
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kassim Dewji kujiuzulu uongozi Simba SC apewe heshima

    Inasikitiisha kuona Mzee Dewji kujiuzulu uongozi inakuwa kashfa kwake na familia yake. Mzee Dewji kajitolea kuiongoza Simba miaka ya 80 na ikawa na mafanikio makubwa. Sio busara kumporomoshea matusi, Laana yake Simba inaweza kuwa nyau. Tuwaheshimi viongozi ---- KASSIM Dewji “KD” amejiuzulu...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Urusi imetusaidia nini kama Taifa rafiki yetu wa damu?

    Kwa mateso wanayowapata watanzania walioko Urusi nchi kama Tanzania tumenufaika na nini tangu uhuru?Orodhesha
Back
Top Bottom