Tuliyonufaika nayo kutoka Urusi....Kwa mateso wanayowapata watanzania walioko Urusi nchi kama Tanzania tumenufaika na nini tangu uhuru?Orodhesha
MmhhKwa mateso wanayowapata watanzania walioko Urusi nchi kama Tanzania tumenufaika na nini tangu uhuru?Orodhesha
Baba yangu ni engineer wa ndege kasoma Russia 🇷🇺Kwa mateso wanayowapata watanzania walioko Urusi nchi kama Tanzania tumenufaika na nini tangu uhuru?Orodhesha
Walijenga Chuo Cha Ufundi Mbeya zamani Mbeya Technical College (MTC) na sasa ni MUST (Mbeya University of Science and Technology)Kwa mateso wanayowapata watanzania walioko Urusi nchi kama Tanzania tumenufaika na nini tangu uhuru?Orodhesha
Watanzania wangapi wanapata mateso.Kwa mateso wanayowapata watanzania walioko Urusi nchi kama Tanzania tumenufaika na nini tangu uhuru?Orodhesha
Ala! Kumbe![emoji33][emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]Tuliyonufaika nayo kutoka Urusi....
1. Pombe zao Kali Kuharibu Akili za 99% ya Wasomi wa Tanzania wakitoka huko Urusi.
2. Kiwango cha Roho Mbaya na Ukatili kwa Watanzania wanaotoka Kusoma huko Kwao.
3. Watanzania wanaosoma huko kuwa Wabahili kupitiliza na kuwa Watu wasiojipenda na Wachafu.
Tunawashukuru Urusi kwa huu Msaada.