Ameondoa watumishi hewa na wenye vyeti feki lakini ametengeneza watumishi hewa wenye vyeti halali. Alipo teua wagurugenzi zaidi ya 160 wapya huku wale wa zaman wakiendelea kula mshahara ule ule wa ukurugenzi, kwa hyo cheo kimoja analipa mara mbili, hili n kosa na ndio maana anakosa pesa za...
Mimi bado napata gagaziko kama sio uvulivuli ktk hayo maneno. Tuangalie mfano wa sentensi hiz halafu tuseme ipi sahihi
1; Sasa ni zamu ya kumtunza mama wa bi harusi.
2;Sasa n zamu ya kumtuza mama wa bi harusi.
Sasa tuone hapo ipi sahihi ndipo tuseme ipi sahihi
Hapo n big yes. kwa sababu hakuna nchi duniani iliyokua inaishi maisha kama ya walibya. tuangalie tz yetu,tuna asilimali zoote lkn hakuna cha bure hata ada tu imeshindikana kufutwa,hospitalin madawa hakuna . lkn gadafi alivfanya vyote hvyo kwa kutumia asilimali chache zlzo patkana, na hvyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.