Recent content by KASHOROBANA

  1. KASHOROBANA

    Jaji Mutungi amrejeshea Mosore cheo chake NCCR kama alivyofanya kwa Prof. Lipumba

    Jaji mutungi anavijua vyama masiala vya kufanya masiala haya. Sidhan hata kama anaiwazia chadema kumleta MTU alofukuzwa uku kwan anajua jinsi gani atakavyopasuliwa vipande vipande. Analijua hilo
  2. KASHOROBANA

    Tundu Lissu: Nape si shujaa, amevuna alichokipanda!

    Nyie ndo wanafiki over. Kumbuk unafiki Juu ya vyeti feki mmeharisha wee Mara kaja bashite nyote navyeti venue feki mkarudisha majeshi nyuma... Km chama tawala si mtoe tamko Juu ya hill?? Au mambo ya vilaza na vyet feki ilikuwa kwa mtoto wa Jirani madam bashite ni mtoto wa ndani ndo nyote...
  3. KASHOROBANA

    Ubunge Afrika Mashariki: Majina ya wagombea wa CHADEMA na CUF yakataliwa na msimamizi wa uchaguzi

    Tundu lisu kawakaa kweli ccm midomoni mwenu au ndo ccm mnakuwa washauri wa chadema.. Na kama je wanawake wamekataa kujitokeza sheria inakuaje? au ni kwa matakwa ya ccm??? Afyuku
  4. KASHOROBANA

    Rais Magufuli anafaa kuwa rais wa Africa

    Nawaomba nyie makada wa ccm mumshauri ili ajipime kuwa kama kweli anakubalka kwa watanzania aweke tume huru ya uchaguzi ili tulijuze bara LA Africa kuwa ata akishindanishwa na zito kabwe kuwa asubuhi tu bara la Africa litajua Uyo jamaa anakubalika kwa asilimia chini ya 20 ya watanzania wote...
  5. KASHOROBANA

    Je, Masha na Wenje wamepita bila kupingwa EALA?

    Umeona eeh... Hapo hoja ya chadema chama cha wachaga hapo imeyeyuka wanakuja na utafiti utumbo wa kuku... A wajue kuwa Ccm bila kutegemea msaada wa vyombo vya dola ni wepesi zaii ya unyoya wa kuku
  6. KASHOROBANA

    Je, Masha na Wenje wamepita bila kupingwa EALA?

    Mbona hajiulizi kwanini ccm imesimamisha watoto wa vigogo WAP km... Abdallah asnu. Mtoto wa magembe. Makongoro nyerere n.k
  7. KASHOROBANA

    Namsikitikia Prof. Kitila Mkumbo wa ACT-Wazalendo

    Utaendelea tu kuota ndoto za alinacha uko kijijini na utaishia tu kunawa kula huli ng'oooooi
  8. KASHOROBANA

    Namsikitikia Prof. Kitila Mkumbo wa ACT-Wazalendo

    Walidhani Sanaa za mama makinda kutenda mambo kwa kuwakomoa upinzani has a chadema yangeendelea... Aah Sasa wameangukia pua pwaaa
  9. KASHOROBANA

    Makamu wa rais wa TLS akamatwa na Polisi Shinyanga akituhumiwa Ujambazi

    Wakili msomi kiukweli Alikosea kusimama. Hata Mimi huwa sisimam nikisimamishwa na MTU alovaa kiraia kwani ikitokea ukatekwa na kwenda kuumizwa hata kuuwawa real ni kwa uzembe wako na hata jeshi LA polisi litakukaa
  10. KASHOROBANA

    Tundu Lissu: Nape si shujaa, amevuna alichokipanda!

    Wewe ni mjinga sana. Ubaya na uchumia tumbo wa nape si wa Leo. MTU uyu ni mnafiki sana. amekuwa mnafiki wa mda mrefu. Kumuonea huruma kwa haya yalomfika ni unafiki wetu wa wazi... Nape ameshiriki katika kiyafungia magazeti kwa uonevu. Ameshiriki kt kupitisha miswada ya kuwaumiza wanahabari. Uyu...
  11. KASHOROBANA

    Rais Magufuli huku Redundancy zinapita sana twafa!

    Sorry lakini... mimi huwa nihisi kuna watu walioletwa humu duniani na mwenyezimungu ili kuleta maafa aka kuwashikisha adabu binadamu, ebu tukumbuke matendo ya hawa watu... saadam husein, mugabe, mohamed atta, jihad john anayewachinja wazungu, faru john..., akseh hawa watu walizaliwa na mama zao...
  12. KASHOROBANA

    Mh. Rais tunaweza kujivunia maendeleo gani ya watu awamu ya tano?

    Umesahau kuwa yana namba za Zanzibar.... Ina maana anayehujumu mapato ya hii nchi ni pamoja na Zanzibar SMZ kwan hao ndo waendeshaji wa bandari ya Malindi
  13. KASHOROBANA

    Kuna Dalili ya Serikali Kufilisika

    Malizia kuwa h I ya uchumi wa nchi yetu utakuw kama Burundi au Zimbabwe wamesema.... Haki ata mchozi unanilenga
  14. KASHOROBANA

    Kuna Dalili ya Serikali Kufilisika

    We nani??? Mbweha kunuka tu wewe huna lolote na umtishi MTU. Kama mada inakuboa si heri uipotezee??? Na si kuingia JF kutisha watu wazima mda wote
  15. KASHOROBANA

    RC Paul Makonda afika Bungeni kuhojiwa na Kamati ya Maadili. Taarifa itasomwa bungeni...

    Nilitaraji kuwa atapelekwa mahakamani kumbe ndo uko asante kwa taharifa
Back
Top Bottom