HII NI AIBU KUBWA KWA TUNDU LISSU ,ALIKUWA WAPI MPAKA CHADEMA KINACHEMSHA KIASI HIKI ?HATA TARATIBU TU HAWAJUI ?! AKIWA MAHAKAMANI KELELE NYIIINGI,HUKU CHAMA KINAPOROMOKA !CHADEMA
form ya maombi ya uchaguzi haipo
form inayonesha waombaji haipo ( Hana alingia nayo yeye mawili tu)
form inayonesha matokeo ya kura haipo (Itakuwepo vipi wakat mbowe kawaptisha yeye wawil)
Chama cha jamiiforums,Istagram,facebook, chama xha Tundu na mbowe hawatambui hata sheria duuh Aibu sana.
Wagombea wamepitishwa kiubabe na mwenyekiti cha kudumu bwana Mbowe