Recent content by Kashishi

  1. K

    PostGE2025 Peramiho: Mtoto wa Jenista atemwa, CCM yamteua DC Komba kugombea

    Hivi ni nini maana halisi ya kuendesha zoezi la Kura za Maoni? Na kama tayari zoezi hili limeshapoteza mantiki kwa nini bado linafanyika? Karibuni Waungwana tujadili.
  2. K

    Majasusi wa Urusi wamkabidhi beji maalumu Rais Traore , huku wakitoa mienendo mibaya ya Marais karibu Asilimia 90 WA afrika hawafai kubebwa na Urusi.

    Mkuu Kwa hili Mbona Rais wa Urusi (Putin) alishasema wakati mmoja nyuma kidogo kuwa Nuukuu " Kwa viongozi wengi wa Afrika.....Afrika kwa ni mahali pa kuzikiwa tu". Aliendelea na na malezo yake kwa kusema Nanukuu.... "Wanafanya ufisadi mkubwa katika nchi zao na fedha zao za kifisadi wanazificha...
  3. K

    Natamani kujua gharama ya ndege binafsi iliyomtoa Lissu Dodoma mpaka Nairobi baada ya kushambuliwa na risasi ili tujue ukweli

    Wana Jamii,, Ukweli wote kuhusu ndege iliyompeleka Tundu Lissu Nairobi , Kenya na deni lake ni dolla $9,200.00 (Elfu Tisa na mia mbili tu) huu hapa kutoka kwa mtu aliyeidhamini ndege ambaye alikuwa Mbunge wa jimbo la Mpendae – Zanzibar, Marehemu Salim Turky (CCM). Hapa kwenye clip alikuwa...
  4. K

    Nilimtongoza mwanamke miaka 30 iliyopita, amenipa wiki 2 zilizopita

    Waswahili husema Quote ..."Kufa Kufaana" au Kufarijiana, Kusitiriana na Kuf****na:-) n.k Kwi! Kwa hiyo Bwa Mzee Zabibu ni zako hizo tena bila ya papara:-)
  5. K

    Wachezaji wanawake Tanzania na Afrika kwa ujumla mlinde haiba yenu ya kike

    Unaambiwa hiyo timu ya Taifa ya Wanawake ya Bongo Za ndani unaambiwa sifa kubwa ni kuwa za 'National Milling ltd' aka"Usagaji Taifa" Don't get wrong ni team nzuri na wadada wanajituma sana lakini nafikiri wamekosa ile 'coaching' na 'counselling' ya kuwafanya wawe kioo cha taifa. My two cents...
  6. K

    Yesu Kristo anarudi

    Amen! Hallelujah! Amen... Naaam! ...Kama Neno lake lisemavyo...."KIla jicho litamuona (Mawinguni akishuka akiwa na jeshi kubwa la Malaika na akiwa katika utukufu mkubwa)....Kila goti litapigwa...Na Kila Ulimi utamkiri kuwa ni "Bwana Mwokozi"! Amen. Neno la Bwana ni upanga wa roho (wenye makali...
  7. K

    PreGE2025 Wasira: CHADEMA Urais mtauona kwenye Runinga pekee

    Halafu Mzee akijibiwa na akina "Tundu Lissu and the Gang" wa CHADEMA sasa hivi ataanza kulia lia sasa hivi kwamba vijana wanamvua nguo!
  8. K

    Ufaulu wa elimu ya Tanzania unanipa mashaka sana kila kukicha

    Sasa mbona hawatuwekei hizi habari za shule za masifuri....Wanatu habarisha tu na Ma Div 01 za 07. Zamani si rahisi kuona Div 1 za 07. Tanzania nzima Div 1 za 07 zilikuwa zinahesabika. Siku hizi darasa moja karibia 50% wanapata Div 01 ya 07 (shule moja). Unajiuliza hii ni copy & paste au ni...
  9. K

    Ufaulu wa elimu ya Tanzania unanipa mashaka sana kila kukicha

    Ndugu yangu, (Umeniwahi:-) Nimekaa leo na mimi nikijiuliza swali hilo hilo kuwa kwani elimu ya Tanzania sasa ikoje (kwa mantiki ya kuwa imerahisishwa kwa kisasi gani. Nakumbuka miaka ya 80's huko let say shule yenye graduate 200 wa Form 4 unaweza kuta Div 1 may be 13,, Div 2 labda 35, Div 3...
  10. K

    PreGE2025 CCM yamchagua Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza katika Uchaguzi wa Oktoba 2025

    Hiki kikao kimekuwa cha kihuni kabisa na kisichofuata wala kuzingatia haki na Katiba ya CCM yenyewe.... Angalia, walisema jenda ya kikao ilikuwa ni kujaza nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CCm ndgu Kinana aliyesemekana kwamba ati "Alijiuzulu"? Sasa Kikwete kupewa microphone na kuanga kugeuza...
  11. K

    PreGE2025 Kassim Majaliwa: Tujiulize kwanini matukio ya uuaji na utekaji yanatokea karibu na uchaguzi

    Well said, just spoke as ignorant person....(shame on him)
  12. K

    Paul Makonda kuchukua nafasi ya Ubunge kigamboni na kupewa Uwaziri baada ya Faustine Ndugulile kuchaguliwa WHO?

    YES, Ushindi wa Faustine Ndugulilekama Director wa WHO - Africa Division, analazimika kuachia ngazi nafasi ya Ubunge wa Kigamboni. Kulingana na kanuni na polcies za UN na mashirika yake yote bna hata zikiwemo taasisi nyingine za Kimataifa kama vile World Bank IMF etc Unapochaguliwa au kuteliuwa...
  13. K

    Mzee wa Msoga alikuwapo kumnadi Odinga kama nani?

    Mbona...Naona Uhuru amehepa picha....Hahaha
  14. K

    Safaricom Kenya yaomba ulinzi kwa Serikali. Ni baada ya Starlink kushusha bei hadi Tsh. 26,000/= kwa GB 50

    Kwani si ndiyo maana Starlink walifanyiwa mizengwe na serikali kuja kutoa huduma yao Tanzania. Wakati Starlink ilipoamua kuja na pilot plan yake ya kuja offer cheap accessible internet services Afrika, Tanzania ilikuwa ni moja ya nchi ambayo illiichagua iwe kwenye mpango wa majaribio kwa kutoa...
  15. K

    PreGE2025 Boniface Mwabukusi: Anayemshikilia wakili mwenzetu Tundu Lissu atawajibika binafsi kwa Madhara yoyote atakayopata

    Eheeeh! Hivi ndio Cha Cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) kilichokuwa kikifanana na TLS yetu (orijino) ya enzi na zama zetu hizoooo. za akina (Suleiman bin Rashid:-). Kwa kifupi, yaani Kofia ya TLS inafanya kazi (ya kupaza Sauti) hadi raha. Yaani kusema TLS ndio imeasisiwa upya leo.
Back
Top Bottom