Kwa hiyo vigezo ni vipi kama umekataa yeye kuongoza nchi yenye ukubwa huko? Kama Kuna nyaraka yenye kusema nchi inatakiwa kuwa na ukubwa kiasi Fulani ,iweke mezani ijadiliwe kwa hoja
Wewe bonfya paliopoandikwa kwamba una 'account' kisha utabofya pale panaposema umesahau nywila. Baanda ya hapo itakulazimu kujaza 'username' ambayo utajaza namba yako ya kidato cha nne katika mfumo wa S..Namba ya shule/namba ya mtihani/mwaka wa kuhitimu mf: S1001/0011/2023
kisha utajaza namba...
Kwa kweli sina shaka na utunzi wa nyimbo mbalimbali za John Mgandu na mimi ni mmojawapo wa wapenzi wa tunzi zake. Pamoja na weatunzi wengine uliowainisha mwangalie na mtunzi mwingine mahiri kutoka Jimbo la mbeya Fr. Gregory F. Kayeta (Marehemu) na yeye kazi zake za utunzi zinaishi kwa maana na...
Mimi naona changamoto pale Mbezi Louis. Wake askari hawafanyi kazi sawasawa, hawaangalii mistari ya abiria mpaka inavurugika ndo utawaona na pia hawana kauli nzuri ya huduma kwa wateja. Pili naona ni muda muafaka wa kurudisha kadi na Sisi tuwe tunachanja maana tumezidiwa na TERESA wao wana kadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.