Safari ya mwnz-Dar it's all about timing wakuu, ipo hivi kama dreva hataki kulala morogoro basi inabdi afanye mpango wa kufika dodoma kabla ya saa moja jioni. Akifika dom kuanzia saa 11 -12:30 jioni basi dar saa 5:30 mpaka 6 usiku anatoboa
Sababu nikuwa kuanzia saa 11 za jioni kutoka dodoma...
Wakwangu mbinu ninazotumia ni tatu
(1) wakati wa kumlisha simu hii kuendelea na michezo yake so namuweka chakula mdomoni then namuacha afanye michezo yake uku nikimuongelesha (hii ya kumuongelesha anamfundshia ameze haraka ) hivyo akimeza namfuata pale alipo na kumuweka chakula tena mdomoni...
Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda...
Ni kweli kabsa, bahati mbaya sana watu wengi hawaelewi haya mambo hivyo unaitaji kuwa mvumilivu sana maana wapo wanaojifanya wanajua kumbe hawajui kitu kabsa.Nipe muda nitakutafuta pm hakika hautojuta kunifahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo ambayo always uwa natamani kuyasema dunia ijue ila kila nikitaka kuyasema uwa napatwa na hofu ya ajabu, kuptia bandiko hili nitafanya uchaguzi wa mtu ambae nitampa habari zote then yeye atakuwa anazileta kwenye jukwaa kama hili.
Nb kile unachojua kuhusu ulimwengu uhu ni sawa na tone...
Wapendwa salamu nyingi sana. Poleni na majukumu na hongereni kwa ufanisi wa kutwa nzima ya leo.
Jamani mwenzenu safari yangu bado sijafanikiwa kupata mke japo hivyo pls kwa wadada ambao mpo seriously naomba tutafutane pm. Sifa za mke nimtakae unaweza kuzisoma kwenye bandiko langu la awali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.