Single fathers and mothers njooni tujenge familia

Proudly single mama for over 10 yrs. Niliolewa tukashindwana. Sijutiii. My twin daughters 17 years na son 11. I am kicking fine wanasoma the best school without a pen from their biological father. Sina pia mwanaume mfadhili as since usichana na utoto wangu niliweka msimamo wa kutoingilia ndoa ya mwanamke Mwenzangu. So napigana kusomesha plus project's zangu. Ila mwishoni ninaamini nitapata mzee Mwenzangu not attached to a relationship ili tuzeeshane tuu. By that time nitakuwa nimemaliza kusomesha wanangu angalao wa mwisho awe University. Hivyo wagani au ambao walishatalikiana wanakaribishwa. Sitaki kuwa sababu ya kuvunjika ndoa ya mwanamke. Acha Mungu akahukumu wale walioendekeza zinaa na kuvunja ndoa. Watazibeba mikononi Siku ya hukumu.
Like it, keep it up mumy..love you..we are the same
 
Proudly single mama for over 10 yrs. Niliolewa tukashindwana. Sijutiii. My twin daughters 17 years na son 11. I am kicking fine wanasoma the best school without a pen from their biological father. Sina pia mwanaume mfadhili as since usichana na utoto wangu niliweka msimamo wa kutoingilia ndoa ya mwanamke Mwenzangu. So napigana kusomesha plus project's zangu. Ila mwishoni ninaamini nitapata mzee Mwenzangu not attached to a relationship ili tuzeeshane tuu. By that time nitakuwa nimemaliza kusomesha wanangu angalao wa mwisho awe University. Hivyo wagani au ambao walishatalikiana wanakaribishwa. Sitaki kuwa sababu ya kuvunjika ndoa ya mwanamke. Acha Mungu akahukumu wale walioendekeza zinaa na kuvunja ndoa. Watazibeba mikononi Siku ya hukumu.
Iam proud of you mama....keep it up
 
Big up dada kuleta hii mada, kwani jamii imekuwa ikiona single mother/Wadada wenye mtoto kama wakosefu eti tu kwa kuwa wamepata ujauzito; wanasahau kuwa kuna wasinzi wakupitiliza wapo mtaani na wanaonekana kuwa ni bora eti kwa kuwa tu hawana mtoto
Kwa mtazamo wangu wadada wengi wenye mtoto (kabla ya ndoa) ni decent na wengi wao ujazito wameupata kwa kukosa uzoefu wa kuruka vihunzi tofauti na wale wengine wa viwanja
Uko sahihi dear, Na pia sio wote wamekuwa single kwa sababu ya kuachana tu, sababu ni nyingi ikiwemo mume/ mke kutangulia mbele za haki. Shukrani nyingi zimfikie mleta mada hii.
 
Si kila mtu anaweza akawa single mother inahitaji mtu strong confidence akili timamu tunapitia mengi kusemwa kuonekana hatuna thamani lakini yote tunayapita na jinsi Mungu si athumani watoto wetu wana akili yaan all the blessing ni sisi.
Ni kweli kabisa mpendwa, kulea familia peke yako Na mtoto akatoka mwenye maadili mema si kazi rahisi, inahitajika hekima kwakweli. Lakini nazidi kumshangaa Mungu kwa namna anavyowasimamia wanetu hata kiasi kuna sehemu unaweza linganisha maadili aliyonayo mwao uliyemlea ukiwa single Na mtoto aliyelelewa Na father& mother, wa kwako anaonekana mwenye maadili Bora zaidi. Big up kwa ma single mom wote jamani. Tuendelee kutiana moyo.
 
Mi ni single mother nina watoto wawili wa kike,mmoja miaka 9 na mwingine 6,,Mimi mwenyewe nina miaka 34,nilipata talaka mwaka 2014 baada ya mi kwenda UDOM kujiendeleza kielimu mwanaume akatekwa na ndo ikawa chanzo cha talaka,,nina imani hakuwa wangu wa kwangu atakuja,,bado nina imani katika ndoa,,tuombeane na kufarijiana wapendwa
Wow hongera sana
 
Back
Top Bottom