Wadau wa jukwaa hili la fikra huru...! Nawasalimu nyote!
Matokeo ya kidato cha nne 2015 ndiyo yameshatangazwa, ufaulu unaonekana kushuka kidogo. Lengo la uzi huu ni kujaribu kupata maoni ya wadau mbalimbali juu ya jinsi ya kuwasaidia wadogo zetu ambao wamepata alama za chini au zisizowapa fursa...
kinachoboa hapa ni kwamba hakuna hatua za kisheria zitazochukuliwa dhidi yake kwa kudanganya umma. Watataka tuone kwakuwa kajivua taji basi inatosha.....nadhani panahitajika hatua zaidi ya kuvua taji!
Wadau hebu nisaidieni kwa hili!
Wakati westgate iliposhambuliwa kule kenya, huku kwetu hasa pale mlimani city na kule kwa manji pale mtava, paliwekwa ulinzi ulioambatana na kupekuliwa na kusachiwa kwa vifaa maalumu. Ila kadri siku zinavyokwenda naona hakuna tena ulinzi, au unakuwepo mara moja...
hivi tofauti nini kama angekutwa na kijana wa rika lake? je ingekuwa tofauti? au pengine tendo lingekuwa tofauti? umri unabatilisha au kuhalalisha tendo la kujaamiana? nionavyo mimi, yote ni sawa, after all ni hulka ya kiuanaume kupenda binti mmbichi. Nadhani wakati wa kulaani matendo haya...
Zama za kulazimishana kwamba mshahara lazima upite bank fulani sasa umefika ukingoni, mfumo wa sasa wa hazina unaruhusu mshahara wako kupitia bank yoyote unayotaka, lakini pia unaweza kukopa bank yoyote bila kulazimika kuhamishia mshahara kwenye bank unayotaka kukopa.....! hili la mobile banking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.