Sijui kwa nini Phd inatumika kwenye siasa. Hiyo level ya elimu ni mahsusi kwa ajili ya tafiti za kutafuta suluhisho la matatizo ya jamii. Nchi nyingi zilizo endelea wenye Phd wapo vyuo vikuu au kwenye taasisi za utafiti. Si siasani!
ROMA na STAMINA wana wimbo wao unaitwa "Abdul". Kuna mstari mmoja unasema " Kichaa hachekeshi akitoka kwako, utajikuta unalinda komwe unaacha tako".! Mwisho wa kunukuu.
Mtoa mada amechanganya vitu kadhaa!
Kwanza kuna tofauti kati ya kusoma na akili (intelligence)
Pili kuna watu ni intellectual lakini hawana nafasi kwenye serikali
Tatu kuna watu wamesoma lakini sio intellectual
Nne kuna watu wapo kwenye serikali wamesoma na intellectual lakini hawana...
Mleta mada ujumbe wako ni kuuza gari, ila kuhusu kuleta heshima ukweni inategemea sana mazingira. Kuna sehemu hiyo gari itakuaibisha maana iko chini sana. (Ground clearance). Ushawahi kufika Nyandira ya Kikeo Morogoro? Huko labda Landrover au Landcruizer.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.