Recent content by karume msaka

  1. karume msaka

    JamiiForums Tanzania Natafuta nafasi ya kazi

    Habari za wakati huu wanajamvi Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Nakuja mbele yenu kwa unyenyekevu mkubwa kabisa kuomba koneksheni yoyote ya kazi. Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 29 mwenye familia ya mke na mtoto mmoja. Hadi naandika uzi huu ni Kwamba maisha yangu ni...
  2. karume msaka

    JamiiForums Tanzania dereva nauliza

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]
  3. karume msaka

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Msaada wa Kazi – Nipo tayari kufanya kazi yoyote halali

    Mkuu mimi Nina leseni A,B,C1,C2,C3 na D kama kuna fursa ya udereva nipigie muda wowote hata usiku saa 9/10 0614819125 Mm ni jobless mkuu napatikana Tabora kwasasa lakni popote nafika kupambana mkuu
  4. karume msaka

    JamiiForums Tanzania Frem ya biashara Mwanza

    Biashara gani iliyopo hapo ?
  5. karume msaka

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Hii inatumikaje mkuu?
  6. karume msaka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najuta kuoa, najuta kuoa, najuta kuoa

    Kifupi hujaeleweka mkuu, umeoa au unatarajia kuoa?
  7. karume msaka

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva wa magari ya abiria yanayohusu leseni ya daraja c1 na magari madogo yenye uhusiano wa tani 3

    Namba yangu ya simu ya mkononi ni 0614-819125 au 0740-273185
  8. karume msaka

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva wa magari ya abiria yanayohusu leseni ya daraja c1 na magari madogo yenye uhusiano wa tani 3

    Mkuu, hiyo ni kama ikikupendeza kwa whatsapp lakni hata ukija Inbox/DM si mbaya.
  9. karume msaka

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva wa magari ya abiria yanayohusu leseni ya daraja c1 na magari madogo yenye uhusiano wa tani 3

    Kichwa cha Habari hapo juu ndio lengo hasa la Uzi huu. Nipo mbele yenu wakuu kuomba mtu yeyote mwenye koneksheni ya mambo ya UDEREVA iwe kwenye kampuni ama shirika Ama mtu binafsi nipo tayari kupambana. Kwasasa sina kazi yeyote na isitoshe nipo na familia. Leseni yangu yenye madaja A, B, C1...
  10. karume msaka

    JamiiForums Tanzania Narudi zangu kijijini, maisha ya mjini siyataki tena

    Kjjn raha, burudani & mustarehe
  11. karume msaka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimelala na wanawake 73 kutoka mwaka 2017 mpaka 2024

    Lipia tangazo kijana
  12. karume msaka

    JamiiForums Tanzania Unapozidishiwa chenji huwa unarudisha au ndio wimbo wa Albert Mangwear "kimya kimya" mwendo wa haraka mbele

    Mwenye duka ndiye mwenyekosa kwasababu. Anaufahamu ukweli
Back
Top Bottom