Wacha kutupanga hivyo ni vitu viwili tofauti, mwanamke anaweza kuwa na uzuri wa sura lakini tabia mbaya, Sasa huwezi kusema ni mbaya kwa sababu tabia zake mbaya, kwa sababu ya uzuri wake tutasema ni mzuri au pisi Kali.
Pia anaweza kuwa na sura mbaya lakini tabia njema, tutasema Ana tabia njema...
Boss wangu watu wanavyopinga huu uchaguzi nyuma yake kuna mengi yanayotuumiza, hii nchi ni ngumu sana kwa maskini kutoboa vikwazo ni vingi sana mkuu sio Kodi TU na riba
Labda na Mimi niulize, hivi kama mwanamke ana hisia na wewe haiwezekani akajipambania na kufika kileleni bila mwanaume kutumia nguvu nyingi sana na muda kumuandaa? Maana kwa kweli ni changamoto sana kuzitafuta hisia za mtu mwengine wakati wewe mwenyewe zako zinakushinda
Nilichogundua kwenye hii Dunia watu wote watakuja na kupotea humu jamii forum lakini Evelyn salt tutakuwa nae milele, ninachoamini siku utakayoona salt haonekani humu kwa wiki kadhaa ujue hayupo tena duniani.
Much respect to THE LEGEND EVELYN SALT
Let me to be honest with you insider, mimi niliuza kingamuzi kwa sababu tu series zao walizokuwa wakirusha Kuna siku channel hazioneshi, Mara wachelewe kurusha series, mimi napenda kwenda na muda, na wewe Hilo kwako ni tatizo kuwa Sana, watu wengi wameacha kufatilia hii isidingo yako kwa sababu...
Bro angu haya maisha ukitaka uipate furaha kupitia mtu mwengine utateseka sana, kwa sababu hata kama unaitafuta fur furaha yako kwenye ndoa kuwa na tahadhari, kwa sisi waislamu ndoa sio kifungo cha maisha mukishindwana munatemana maisha yaendelee, binaadamu hakuna mkamilifu muhimu tengeneza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.