Recent content by karonga

  1. karonga

    Uzuri wa mwanamke ni tabia sio bikra wala sura.

    Wacha kutupanga hivyo ni vitu viwili tofauti, mwanamke anaweza kuwa na uzuri wa sura lakini tabia mbaya, Sasa huwezi kusema ni mbaya kwa sababu tabia zake mbaya, kwa sababu ya uzuri wake tutasema ni mzuri au pisi Kali. Pia anaweza kuwa na sura mbaya lakini tabia njema, tutasema Ana tabia njema...
  2. karonga

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tupeni mikeka ya Leo Wana maana tukibeti wenyewe ni vipigo Tu daily
  3. karonga

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kwa yeyote aliyekaribu na insider atwambie na yeye ametekwa kama pole pole at mshangazi Irene amemficha
  4. karonga

    Ukosefu wa Usawa katika Mikopo ya Kibiashara

    Boss wangu watu wanavyopinga huu uchaguzi nyuma yake kuna mengi yanayotuumiza, hii nchi ni ngumu sana kwa maskini kutoboa vikwazo ni vingi sana mkuu sio Kodi TU na riba
  5. karonga

    Ulijuaje upo kwenye mahusiano na kicheche bed to bed midfielder na haukuwahi kumdhania?

    Inategemea lakini mara nyingi ni rahisi kwa mwanamke kuwa na zaidi ya mmoja, labda uwe hupendi TU au uwe huna shida za pesa za reja reja
  6. karonga

    Mambo magumu kwa mwanamke na suala la kufika kileleni

    Labda na Mimi niulize, hivi kama mwanamke ana hisia na wewe haiwezekani akajipambania na kufika kileleni bila mwanaume kutumia nguvu nyingi sana na muda kumuandaa? Maana kwa kweli ni changamoto sana kuzitafuta hisia za mtu mwengine wakati wewe mwenyewe zako zinakushinda
  7. karonga

    Shikamoo baby!!!

    Sio wote wengine hukuita kwa kukujejea, ni sawa na ile kuitwa TAJIRI wakati huna hata 100 mfukoni
  8. karonga

    Nimle, au nimpotezee binamu yangu?

    Nilichogundua kwenye hii Dunia watu wote watakuja na kupotea humu jamii forum lakini Evelyn salt tutakuwa nae milele, ninachoamini siku utakayoona salt haonekani humu kwa wiki kadhaa ujue hayupo tena duniani. Much respect to THE LEGEND EVELYN SALT
  9. karonga

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Sawa dully Sykes Mr. Misifa tumekupata
  10. karonga

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Let me to be honest with you insider, mimi niliuza kingamuzi kwa sababu tu series zao walizokuwa wakirusha Kuna siku channel hazioneshi, Mara wachelewe kurusha series, mimi napenda kwenda na muda, na wewe Hilo kwako ni tatizo kuwa Sana, watu wengi wameacha kufatilia hii isidingo yako kwa sababu...
  11. karonga

    Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Bro angu haya maisha ukitaka uipate furaha kupitia mtu mwengine utateseka sana, kwa sababu hata kama unaitafuta fur furaha yako kwenye ndoa kuwa na tahadhari, kwa sisi waislamu ndoa sio kifungo cha maisha mukishindwana munatemana maisha yaendelee, binaadamu hakuna mkamilifu muhimu tengeneza...
  12. karonga

    Nimelidondosha Bumunda jingine leo. Sitaki ujinga

    Mkuu usiombe huyo demu awe mkeo wa ndoa ndio hasira zitazidi mara kumi, hasa ukiwa bado ndio unajitafuta, yashanikuta hayo kwa make wangu wa ndoa😭😭😭😭
  13. karonga

    Nina leseni ya driving gari ndogo (sio class C) na nime-renew tangu 1990, leo hii nakataliwa ku-renew eti sina cheti!

    Cheti ndio muhimu Kwa Sheria za sasa, Mimi hata hiyo leseni Bado sijaendakutoa natumia cheti tu mpaka siku nitakayokwenda kutoa leseni
  14. karonga

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka unawaza hapo nyuma ulikosea wapi? Part[2]

    Mbona unakatika katika kama umeme WA tanesco, taratibu unaanza kuvaa viatu vya insider
Back
Top Bottom