Kukamatika kimapenzi sikusudii mtu asitamani, nazungumzia wale watu ambao wamefall in love, yaani kama unapenda mtu ukimuona tu moyo unaenda mbio kwa hofu, wakati mwengine hata kuongea unashindwa, Yale real love, Kuna namna mtu anakamatika wengine wakivurugwa wanaweza hata kujitoa uhai, kitu...