Recent content by karonga

  1. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Nimemjibu vibaya mama mkwe mtarajiwa kutokana na hasira

    Kwa ufupi wewe ni ****, tukikwambia useme ukweli nini hasa kilichotokea unaweza kusema kulikuwa na basha unampenda kakuacha na kuoa mtu mwengine ndio ukawa na hasira, kwa sababu kwenye mambo mazito kiasi hicho ya ndoa useme ulikuwa na hasira hizo hasira ni za nini utaweza kusema ukweli kipi...
  2. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni vitu gani mwanamke hupenda zaidi, ukimfanyia kama ukiwa nae katika mahusiano au ndoa?

    Mimi nashika hiyo 4 gongelea msumari. Vipi joanah mpaka leo hunipendi?
  3. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni upuuzi: Mke wa mtu anasema ananipenda Sana

    Dah mpaka leo upo wakala
  4. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti wa Chuo anataka nimuoe na nimvumilie amalize masomo, najiuliza itakuwaje badae?

    Kwa uzoefu wangu mwambie umuoe kwanza na umzalishe mtoto mmoja, vyenginevyo akiingia chuo huyo hatoboi hata semister 1 washamramba, usije ukarudi hapa na kilio umepotezewa muda wako, hata akimaliza miaka 3 atakuwa Hana bikra ya mbele wala ya nyuma
  5. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fanya yote ila usiwe na mahusiano na mfanyakazi mwenzako kazini

    Uko sahihi mkuu cha msingi usiweke ukaribu mapema kabla hawajakuzoea inasaidia
  6. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fanya yote ila usiwe na mahusiano na mfanyakazi mwenzako kazini

    Problem sio sehemu ya kazi tu, hata shule au chuo ni hatari, isipokuwa kwa watu wanakjielewa na wanaweza kudhibiti hisia zao, mfano unakuwa na mahusiano na demu darasa moja na unapenda Sana, siku mukiachana na bado munasona wote unaweza kujikuta unafeli class kwa sababu huwezi kumtoa akilini...
  7. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NI UMRI UPI INATOSHA MTU HAWEZI KUUMIZWA NA MAPENZI

    Kukamatika kimapenzi sikusudii mtu asitamani, nazungumzia wale watu ambao wamefall in love, yaani kama unapenda mtu ukimuona tu moyo unaenda mbio kwa hofu, wakati mwengine hata kuongea unashindwa, Yale real love, Kuna namna mtu anakamatika wengine wakivurugwa wanaweza hata kujitoa uhai, kitu...
  8. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NI UMRI UPI INATOSHA MTU HAWEZI KUUMIZWA NA MAPENZI

    Mkuu Kutokana na uzowefu wangu na watu nilioishi nao, kuwa Malaya hakukufanyi kuwa na uwezo usikamatike kwenye mapenzi, Kuna mshkaji wangu alikuwa Malaya wa kutupwa, na alikuwa anakula demu Anaemtaka kwa sababu Ana pesa za kutosha kuwasumbuaa Hawa zuwarde, lakini alikuja Kukamatika kwa demu...
  9. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NI UMRI UPI INATOSHA MTU HAWEZI KUUMIZWA NA MAPENZI

    Labda wewe hujafikia hiyo stage usibishe, na hii sio tu uzowefu, Kuna wazoefu lakini bado wanasumbuliwa na mapenzi
  10. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NI UMRI UPI INATOSHA MTU HAWEZI KUUMIZWA NA MAPENZI

    Uko sahihi
  11. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NI UMRI UPI INATOSHA MTU HAWEZI KUUMIZWA NA MAPENZI

    Kuna changamoto kubwa Sana kwa mtu mzima kuumia au kuteswa na mpenzi, labda alichelewa kuanza mahusiano au changamoto za Kimaisha au kiafya, mimi binafsi kutokana na kujihusisha na mapenzj mapema, nimepitia mishale mingi Sana kiasi ambacho kwa Sasa haiwezekani tena kuumizwa na mpenzi, nishawahi...
  12. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utapeli: TBC haionyeshi kombe la Dunia

    Pesa zangu azam hazijaenda Bure nilishtuka mapema nikalipia
  13. karonga

    JamiiForums Tanzania Kama shule inafundisha vizuri, kwanini wakati wa kusajili inachukua wanafunzi waliopata A na B badala ya D na F?

    Tatizo linaanzia hao wenye F wengi wao ni vilaza, huwezi kupoteza muda kusomesha vilaza na watoto wasiojielewa na kuwajibika kwenye masomo yao waje wakuharibie shule. Huku zanbzibar kuna shule ya private inachukua wanafunzi waliofaulu division 1 serikalini na kuwasomesha bure kwenye shule yao...
  14. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzuri wa mwanamke ni tabia sio bikra wala sura.

    Wacha kutupanga hivyo ni vitu viwili tofauti, mwanamke anaweza kuwa na uzuri wa sura lakini tabia mbaya, Sasa huwezi kusema ni mbaya kwa sababu tabia zake mbaya, kwa sababu ya uzuri wake tutasema ni mzuri au pisi Kali. Pia anaweza kuwa na sura mbaya lakini tabia njema, tutasema Ana tabia njema...
  15. karonga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tupeni mikeka ya Leo Wana maana tukibeti wenyewe ni vipigo Tu daily
Back
Top Bottom