nkiwa kama kamanda ambaye niligombea ubunge 2010,nafkri kuna kazi inabidi chama kifanye,nimefuatlia uchaguzi wa kalenga nimegundua kuwa wananchi wamepandikizwa conception ya amani na utulivu na wameaminishwa kuwa vyama vya upinzani ni kuleta vurugu,nao kukosa uelewa na ujinga walionao...
hivi kwa akili yako ndogo tu alonayo ya bila hata kwenda shule,unaona ccm imekufanyia mambo makubwa,hapa ndo naamini ccm na ujinga na umasikini ni kitu kimoja.
mkuu kama ualimu ni wito basi kafanye hii kazi bure,acha mambo ya ajabu kazi yenyewe uajiliwe porini na hakuna hata allowance ya mazingira,mshahara wa degree holder ndo mshahara wa nursy tena form four,hapa nitaendelea kuhoja ufahamu wetu tunaokwenda kusomea ualimu.
ni gharama kidogo sana,butvunatakiwa kujua nini unataka kufanya make unaweza kuwa na kampuni then isifanye kabisa kazi,pata ushauri na ikiwezekana shirikiana na wale wennye kampuni tayari,wengi naona wapo tayari kukupatia memorundam we una edit hasa objectives.
mkuu ni sidharau ualimu bali nadharau sisi tunaosomea ualimu,hivi unajua walimu wakiamua walipwe hata million kwa undergraduate inawezekana? lakini nimeshuhudia migomo mingi inayoitishwa na tucta haifanyi kazi,walimu wanaamkia kazini kisa heti watafukuzwa kazi,kiongozi mi ni mwl,nafikiri...
ndo maana nikasema mi sielewi watu tunaokwenda kusimea ualimu kama tupo sawa kabisa kimawazo na akili,au ni wale tulokosa kabisa alternative ya maisha,yaani mtu una akili timamu unaona kupigwa mtu mzima ni sawa tu heti kisa utalipwa fidia,hapa kazi ipo make hata huku mbeya nilikuwa nasikia...
kaka kinachomatter maisha,nawakumbuka walimu wangu wote baadhi wakijiita wakali wa mathe wengine sijui history but up to now nothing,tatizo watu tuna argue bila logic so hiyo jkt wakikupeleka itakusaidia nini? kama viongozi wenyewe hawana uzalendo we unasema uzalendo kidogo nina doubt uelewa...
kaka post yangu nimeandika katika swali,na wala sijamtukana mwl mi mwenyewe mwl japo nafanya shughuli zangu,kitu nilicho uliza hapa nkama tuna uelewa,hasa baada ya walimu wenzetu kudai kwamba heti walimu ambao hawakupitia jkt hawana maadili na hawajui kazi hivyo walimu wapelekwe jkt,hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.