Ally Msangi
JF-Expert Member
- Jun 29, 2010
- 610
- 124
Thanks ALOT Boss for your reply.
Tupo pamoja mkuu..
Thanks ALOT Boss for your reply.
Wadau,
Naomba mnijulishe makaratsi yatakiwayo kusajili, kuanzisha au kufungua kampuni. Nashukuru kwa msaada wenu, nimechoka kuomba kazi, nataka nitengeneze kazi za kuwaajiri wengine.
Mimi ni pia ni mmoja wapo ambaye nipo katika hatua za mwishoni kuanzisha organization yangu. Nitumie email yako ili nikutumie templates bure bila pesa. Maana haya ni maisha. Ukihitaji ushauri zaidi usisite kuwasiliana nami maana nieshaenda hatua kidogo hivyo ninaweza kukusaidia mawili matatu. 0752 205 261 au makandomende@gmail.com
Thanks kaka
Mimi ni pia ni mmoja wapo ambaye nipo katika hatua za mwishoni kuanzisha organization yangu. Nitumie email yako ili nikutumie templates bure bila pesa. Maana haya ni maisha. Ukihitaji ushauri zaidi usisite kuwasiliana nami maana nieshaenda hatua kidogo hivyo ninaweza kukusaidia mawili matatu. 0752 205 261 au makandomende@gmail.com