Recent content by kareem kim

  1. kareem kim

    'Wasomi' Wanawaachia Watoto Wao Umaskini Kisa Kulisha Ndugu Wenye Watu Wazima Wavivu?

    Mkuu umemaliza kila kitu. Hoja Ina mashiko big time.
  2. kareem kim

    Kutoka rubani wa ndege nchini Marekani hadi muokota makopo nchini Kenya

    Kabisa ndugu yangu. Maisha yana mambo mengi sana hususan kwa sisi Jamii zetu za Ki Africa
  3. kareem kim

    Kutoka rubani wa ndege nchini Marekani hadi muokota makopo nchini Kenya

    Maisha yana mambo mengi sana, navyozidi kukua nazidi kuepuka kuwa mtoa hukumu na kujaribu kuwa muelewa zaidi. Hatuwezi kujua mwamba alipitia nini katika maisha mpaka kuchukua hatua ya kurudi nyumbani, kikubwa tumuombee. Kuna facts mbalimbali mfano: 1: what if alikuwa anatuma pesa za kujiandaa...
  4. kareem kim

    Huyu na Kaka yake ndiyo Mabingwa kwa Kubuni styles kali za Kucheza kwa Wanamuziki wa Congo DR na Fally Ipupa anamuogopa sana

    Umetoa hoja murua kabisa mkuu. Hata humu jukwaani kuna wadau wengi tunakukubali
  5. kareem kim

    Tamasha la mkesha wa uzinduzi AFCON: Nimefurahi hakuna Msanii hata mmoja kutoka Tanzania

    Wewe unafaidika na nini wasanii wasipokuwepo. Roho za kimaskini tu
  6. kareem kim

    Mange Kimambi: FBI wamenitaarifu Serikali ya Tanzania imewapa kazi Mexican cartel waniue

    Na Kesho wakitoka Tena watapigwa Chuma kweli
  7. kareem kim

    Watanzania hatuelewi tunachotaka,ni roho mbaya tu

    Umeongea ukweli kabisa, ambao watu wengi wanaujua ila wanajizima akili. Kwa kuongezea kidogo hata haya mambo ya uchawa kusifu yalianza chini ya Utawala wa JPM. Sasa unapopanda mbegu, tegemea mbegu kumea na kukua na haya ndiyo matokeo yake
  8. kareem kim

    Mbwana Ally Sammata, nimekudharau na sito kuheshimu, una roho mbaya na ni mnafiki we jamaaa, sijapata kuona

    Sasa wewe ulitaka awaze nini? Akuwazie wewe na familia yako? Kwani lazima kila mtu aunge mkono maandamano? Acheni kupangiana maisha
  9. kareem kim

    Je nisipo hudhuria harusi ya rafiki huyu kuna lawama?

    Nenda kampe moyo best yako. Watoto wa kiume hatusumbuliwi nayo, yaliyopita si ndwele
  10. kareem kim

    PostGE2025 Mwisho wa Samia na utawala wake utakuwa mbaya sana

    Ulitaka watu wafanyaje?? Maisha yasimame
  11. kareem kim

    PostGE2025 Mwisho wa Samia na utawala wake utakuwa mbaya sana

    Waliomfanyia udhalimu huyu mwamba Leo wanajuta, kulia na kusaza meno. Nchi haitawaliki tena
  12. kareem kim

    PostGE2025 Mwanasheria Mkuu wa Serikali baada ya kuapishwa na Rais, aapa kumkamata Mange Kimambi. Anasema kapewa maelekezo!

    Mpumbavu wewe kwani kuwa Raia wa Marekani ndo nini? Limbukeni kweli wewe jamaa. WAMAREKANI wangapi wanafanya uhalifu sehemu mbalimbali duniani na kuhukumiwa. mjinga kabisa wewe jamaa
  13. kareem kim

    Ujumbe maalum kwa Watanzania wanaomsikiliza na kumuamini Mange Kimambi

    Yule dada mshenzi Mungu atamlaani kwa alichofanya. Damu za watoto wa kimaskini zitamlilia, aliwajaza ujinga watoto wa watu. Cha ajabu wanaharakati wote hakuna hata mmoja aliyeandamana
  14. kareem kim

    Mange Kimambi na Maria Sarungi wapelekwe ICC

    Mange kawaponza watoto wa kimaskini wasio na uwezo wa kufikiri na kuhoji kwa kina. Nina uhakika wale waandamanaji ungewauliza chanzo cha wao kuandamana, wasingekuwa na majibu ya kueleweka. Mbona palikuwa na maandamano ya CHADEMA chini ya Mbowe hakuna aliyeuwawa, TUJITAFAKARI. Mange kawachochea...
  15. kareem kim

    Mange Kimambi: FBI wamenitaarifu Serikali ya Tanzania imewapa kazi Mexican cartel waniue

    Siyo kweli watu wote waliopotea kuna mkono wa serikali. Yule jamaa kibonge aliyenusurika kutekwa mbezi ya kimara na watuhumiwa kukamatwa, je ilikuwa ni serikali. Siku hizi kuna matukio mengi yanayoendelea, mfano mauaji ya albino wanapotea je ni serikali? Watu wengi wanafanya matendo mengi...
Back
Top Bottom