Recent content by Kardinali

  1. Kardinali

    Antiviral activity of Carisa edulis (Mugarika)

    Asante mkuu kwa makala lakini ni vema kuwa-acknowledge walioandika hii article. Inapatikana hapa Carissa edulis na
  2. Kardinali

    Ugonjwa wa kiharusi/ kupooza (stroke): Kinga, tiba na jinsi ya kukabiliana na maradhi haya

    Azimio Jipya, Asante kwa kunikumbusha umuhimu wa kuacknowledge. Nimekupata vema. Turudi kwenye mada yetu, Ni kweli kuna uhusiano mkubwa kati ya HIV-AIDS na kiharusi. HIV/AIDS inaongeza uwezekano wa kupata kiharusi hata kwa wagonjwa ambao hawana zile risk factors nyingine za kupata stroke au...
  3. Kardinali

    Mambo ya Zitto Kabwe haya

    Mbona kwenye majimbo mengi yenye wabunge wa CCM hayafanyiki tukayaona haya? Vipi serikali iligoma kuyagharamia?
  4. Kardinali

    Ugonjwa wa kiharusi/ kupooza (stroke): Kinga, tiba na jinsi ya kukabiliana na maradhi haya

    Mkuu Azimio Jipya, That's a very scientific question/inquiry. Katika follow-up study moja iliyofanyika kwa miaka 14-year among 2201 middle-aged male study subjects, ilionekana kwamba psychological distress was an independent risk factor for fatal ischemic stroke. In this study, psychological...
  5. Kardinali

    Ugonjwa wa kiharusi/ kupooza (stroke): Kinga, tiba na jinsi ya kukabiliana na maradhi haya

    MziziMkavu, No disrespect mkuu lakini upo nje kabisa ya maana halisi ya Kiharusi. What you are talking here is just one of the many pathologies that can occur in Facial nerve. Mind you, lesions in the facial nerve are not synonymous to stroke, na hata kwenye tafsiri yako unasema kiharusi ni...
  6. Kardinali

    GE2010 Shibuda ahamia CHADEMA

    Kwahiyo Dr. kama na wewe ikitokea hukufanikiwa kuteuliwana chama chako kuwa mgombea hata baada ya vikao vya CC yenu, utajilipua pia kwa kuhamia chama kingine ili mradi azma yako ya kuwa mbunge itimie?
  7. Kardinali

    Waswahili wa Uarabuni

    Mkuu Boflo, Unapozungumzia mswahili sijui unamaanisha nini. Kwamba ni waswahili kwa rangi yao au waswahili kwa tafsiri ya uswahili ya huku kwetu? Ama? Hebu tuweke sawa hapo kidogo.
  8. Kardinali

    Jidulamabambasi is no more!

    Poleni sana wafiwa wote. Tunamuombea kwa Mungu ampumzishe kwa amani. Amina.
  9. Kardinali

    Habari zenu Waungwana

    Baada ya kuwa mtazamaji kwa kipindi kirefu kidogo, nimeona muda wa kubaki kama mtazamaji umetosha sasa. Nimeamua kujongea jamvini hapa JF ili niweze kushiriki vema mijadala mbalimbali nanyi wenzangu. Natumaini nimekaribishwa tayari jamvini.
Back
Top Bottom