Mama Samia ni mtu wa pekee kweli. Ingekuwa enzi zile zetu, kauli ile ingemfikisha Central, na Jumatatu angepelekwa Kisutu akisomewa kesi ya kudaiwa kodi ya TZS bilioni 10 ambayo hajalipa kwa zaidi ya miaka mitano. Watanzania tunasahau haraka sana. Mama ametuliza nchi; sasa kuna uhuru wa kutoa...
Hii ni kweli kabisa na TRA wanatakiwa wabadilishe jinsi ya kutoza kodi za Magari. Wanatakiwa waongeze Kodi kwenye magari chakavu sio Magari mapya. Kuagiza gari mpya Tanzania ni anasa kubwa. Kodi ya kuagiza gari mpya Tanzania ni kubwa mno. Wakati inatakiwa iwe kinyume chake. Tusipoangalia...
Kaka pole Sana, haya yalishanikuta jirani alikuta tayari nimeshamaliza nyumba yangu safi na ukuta safi pande zote nne. Akajenga wa kwake na upande mmoja akatumia wa kwangu bure kabisa, sasa uwanja wangu hupo chini na kwake ni juu, kwa kweli nilijenga kozi za tofari zaidi ya 9 akasema niongeze...
Mzee Kikwete anaona mbali hata Chuo Kikuu cha MUHAS ilikua Campus ya Chuo Kikuu Cha DSM. Mbele ya safari huko Campus hiyo ya Mbeya inaweza kuja kuwa Chuo Kikuu.
Mzee umesahau kuwa katika uchaguzi wa Rais, tunachagua rais na MGOMBEA MWENZA. Maana yake MGOMBEA MWENZA naye anapigiwa kura za Rais ndo maana Rais akishinda na yeye anakuwa Rais Mtarajiwa moja kwa moja kama kuna lolote litakalotokea kwa Rais. Hivyo basi, Rais Samia ndiye Rais kwa sasa bila...
Mkuu ukiona mtu anafanya joke na UVIKO-19 ujue haujampitia au haujapitia familia yake. Ebu aende ICU akaone wagonjwa wenye UVIKO-19 wanapumuaje, alafu aje hapa aseme ni mafua tu. Hii kitu isikie tu mkuu kwa mbali. Usiombe ikutokee au itokee wazizi wako alafu uambiwe yuko kwenye ventilator.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.