Hii habari ya Serikali kufanya biashara na Taasisi za Serikali tulishapitia wakati wa Serikali ya awamu ya kwenza na tuli fails sana kwenye kujenga na kuimarisha uchumi wa nchi, sasa leo tunarudi kule kule. Wenzetu walioendelea kiuchumi wametushauri sana, kuinvolve sekta binafsi katika kujenga...
Nilimsikiliza Mkamia J5 anahojiwa na BBC juu ya hiyo agenda yake ya miaka saba. Kwa kweli hana point kabisa. Hoo ni gharama kuendesha uchaguzi kila baada ya miaka 5. Eti ndiyo tufanye baada ya miaka 7 kukwepa gharama!! Kuishi kokote ni gharama nini kufanya uchaguzi, kama unataka kukwepa gharama...
Hee!! Kunena we ufikiri wako ni mfupi sana! Umeme wa maji ni very un reliable kutoka na hali ya Dunia ya sasa na climate change hii, mataifa yaliyoendelea hayategemei huo umeme aisee
Nchi za Ulaya wanavyofanya wanatoa Ruzuku kwa wakulima pindi mazao yao yanaposhuka bei ili kuwalinda wazalishaji. Wengi humu ni mambumbu tu wanamponda mtoa mada bila kujua chochote
Uchumi unaimarikaje hapo wakati wazalishaji wanauza mahindi yao bei ya chini kuliko gharama za kuzalisha? Serikali inatakiwa ifidie hiyo gape ya hasara wanayopata wazalishaji wa mahindi ili next time wazalishe tena, vinginevyo hao wazalishaji wata shift na kuzalisha kitu kingine. Alafu mkumbwe...
Hivi ni kweli kuwa Mungu ana shida na hela zetu sisi wanadamu ili afanyie nini hizo hela anzotaka kutoka kwetu. Hawa ni watu wenzetu wanazitaka hela zetu ili watumie
We pain killer, huo uchumi hauwezi kusaidia Tanzania, hiyo unayosema wewe inasaidia mataifa kama China ambayo yanazalisha zaidi na ku export nje kwa uwingi sana. Nchi inayo import kila kitu kama Tanzania kushuka kwa shilingi zidi ya Dollar ni mbaya kiuchumi
Walivyo mabwege watatoa sana mapovu wakati we umewapa ushauri mzuri. Lakini kwa vile wenyewe ni mabwege na wana tamaa wacha tuendelele kuwatumia sie wenye ndoa zetu na ambao hatuna future nao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.