Ni kama yeye sosopiWewe ni kama nani?
Ni kama yeye sosopiWewe ni kama nani?
Yaani waibishie mamlaka ya uteuzi?haya mambo huwa yanakuwa neutralized na system baada ya kupata baraka ya mkuu wa majeshi japo huwa kimya kimya hata ikibidi intimidation kidogo kwa wale vimbelembele wa kutaka kuongezeka kwa muda wa ukomo wa madaraka
utasikia tu hoja imetupwa kapuni
kwahiyo siamini kama jenerali na yule mkurugenzi wa wavaa miwani ya jua kama watakubaliana na huo upuuzi wa nkamia
WEWE KUFA NYUMA USIYEJUJUA WEWE!Huna chako wewe, kafe mbele
AISEE KUMBE MAKEMIA WAPO WA KUTOSHA.Hiyo ndiyo Democracy,itapelekwa hoja binafsi bungeni ikiungwa mkono mchakato unaendelea.
BAVICHA haina nguvu yoyote kwenye huo mchakato wote na wala hawawezi mzuia mtu kuwasilisha hoja binafsi bungeni
hawaibishii wanajua watakavyo fanya wao na interejensia zao unajua mkuu wa jeshi akiweka ngumu na akiwa na supporters nyuma yake raisi anabaki kama mbunge tu?Yaani waibishie mamlaka ya uteuzi?
Anaandika Mwenyekiti Wa Taifa Bavicha Patrick Ole Sosopi
#CCM_OLEWENU_NA_NKAMIA_WENU
Kama CCM Wanafikiri sisi Watanzania ni Wajinga, Wajaribu katika hili watajua Nguvu ya [HASHTAG]#BAVICHA[/HASHTAG].
Tumeshajua tatizo lipo kwa Wapambe sio Mtukufu sasa BAVICHA Tutashughulika na Hiki Kikundi cha Wahalifu Kinachoongozwa na Nkamia.
Hiki Kigenge tutakisambaratisha na Agenda yao ya Miaka 7. Nawapa onyo, we are very serious on this hatutakubali ujinga wa namna hii.
#To_Be_Is_To_Do
Sote ni wamoja, usimtukane mwenzioHuna chako wewe, kafe mbele
Na wewe ni kama nyani ?Wewe ni kama nani?
Kwa akili zenu ndogo mnadhani ni nkamia ndiye anaye push huo upuuzi...haya mambo huwa yanakuwa neutralized na system baada ya kupata baraka ya mkuu wa majeshi japo huwa kimya kimya hata ikibidi intimidation kidogo kwa wale vimbelembele wa kutaka kuongezeka kwa muda wa ukomo wa madaraka
utasikia tu hoja imetupwa kapuni
kwahiyo siamini kama jenerali na yule mkurugenzi wa wavaa miwani ya jua kama watakubaliana na huo upuuzi wa nkamia
kwa akili zako ndgo ulitegemea nimtaje anaye injinia mchezo?Kwa akili zenu ndogo mnadhani ni nkamia ndiye anaye push huo upuuzi...
Angalieni bigger picture nyie
Huu ni mpango na pogba ameubariki
Kwa akili zako ndogo ulidhani ww ni kati ya watu wanaoweza ku think deep?kwa akili zako ndgo ulitegemea nimtaje anaye injinia mchezo?
think deep!