Recent content by KARACHONYO

  1. K

    Mrisho Gambo ni Hazina kwa taifa

    Gambo ni nani hadi tumuunge mkono? Kwani naye analitaka jimbo? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Mkuu wa Wilaya Ubungo tembelea Goba Kinzudi, Majengo na maeneo yote ya Goba Dar es salaam

    Salam sana. Kumekucha najiuliza jinsi ya kutoka niifikie daladala ya kwenda Mbezi Mwisho kuelekea kwenye mizunguko ya kuusaka mkate. Shida ya hapa Majengo nilipo kwenda Goba Mwisho ni barabara. Inapelekea ulipe bajaji sh 7000 Boda boda sh 3000 wakati hakuna hata kilimotea 4 .Maji ni WIKI sasa...
  3. K

    Fatma Karume atoa ujumbe huu kwa TISS

    Sasa ujumbe huu unalisaidia nini TAIFA? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. K

    Masikitiko: Clouds Tv yageuka Vuvuzela la CCM

    KUNA MSEMO USEMAO "KUFANI KUFUANI BANDO" HUO HAPO
  5. K

    IGP Sirro alalamikia unafiki ndani ya Jeshi la Polisi, Changamoto nyingine ni baadhi yetu kujihusisha na siasa

    Unabinti wakazi kila mkilala anakuja kuwaamsha kisa mliwahi kumuonya asiache kuwaamsha kwenda kazini. UNAAMKA UNAJIANDAA unavaa saa kucheki saa kumbe saa 4:30 za usiku !! Vipi hapo mwengu? Ukishasoma tuma salamu kwa watu 6
  6. K

    Hatimaye nimefanikiwa kumuona mtu asiyejulikana

    Wadau amjambo? Moja kwa zote niende kwenye mada. (Angalizo ) mimi si mwandishi wa habari kwa hiyo mtarajie kuto ona mwandiko mzuri na spelling mchanganyiko. Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto kwamba Kibaha Mkoa wa Pwani kumetokea shamburio na ni watu wasiojulikana. Nakawa nasikiliza kwenye...
  7. K

    Mikoa Kumi(10) iliyotoa wasomi wengi zaidi nchini

    MONDOLI HAIMO[emoji85][emoji85]
  8. K

    Kinachomponza Prof. Palamagamba J.A.M.Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

    Kabudi sio MPYA katika siasa za Tanzania. Ananifanya nimkumbuke mtaalamu wa miamba na nishati Profesa Muhongo
Back
Top Bottom