Salam sana.
Kumekucha najiuliza jinsi ya kutoka niifikie daladala ya kwenda Mbezi Mwisho kuelekea kwenye mizunguko ya kuusaka mkate.
Shida ya hapa Majengo nilipo kwenda Goba Mwisho ni barabara. Inapelekea ulipe bajaji sh 7000 Boda boda sh 3000 wakati hakuna hata kilimotea 4 .Maji ni WIKI sasa...
Unabinti wakazi kila mkilala anakuja kuwaamsha kisa mliwahi kumuonya asiache kuwaamsha kwenda kazini. UNAAMKA UNAJIANDAA unavaa saa kucheki saa kumbe saa 4:30 za usiku !! Vipi hapo mwengu? Ukishasoma tuma salamu kwa watu 6
Wadau amjambo?
Moja kwa zote niende kwenye mada.
(Angalizo ) mimi si mwandishi wa habari kwa hiyo mtarajie kuto ona mwandiko mzuri na spelling mchanganyiko.
Usiku wa kuamkia leo nimeota ndoto kwamba Kibaha Mkoa wa Pwani kumetokea shamburio na ni watu wasiojulikana.
Nakawa nasikiliza kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.