Voda wachafu sana,japo mitandao karibia yote inashida lakin la voda ni tatizo kubwa,mi hadi newakimbia kwan hata ukowapigia customer care wanakuzungusha...mamlaka husika ichukue hatua wasisubiri hadi iwe ugomvi kwan kuna watu hawawezi vumilia uchafu.
Sizana hata kama kuna haja wa kuwafunga hao wananch wenye hasira wapewe hao mbwa halafu rais afanye utaratibu wa kuwafukuza hao takataka haraka sana.ka barabara tutajenga wenjewe wez hao
Kwa mtu mwenye uchu na nchi yake uwez kubal kashfa,kama kaweza salit chama na mkoa wake bila aibu unahisi atashindwa kuuza nchi na watu wake,chama tawala kimemlewesha mtu mzima na akil zake.
Kwa walio zaliwa mwaka 90 wenyewe kwa akili ya kawaida wanaona huu ni mchezo mchafu,chukulia mfano mtu wako wa karibu akusaliti utafanyaje,?huu mchezo wa wanasiasa wanatuona wananchi ka watoto vile.mara flani mara flan leo zitto,na hii yote si kwa ajil ya uongozi bora na kwaajil ya bora...
Uchu wa kujilimbikizia mali wa viongoz wetu na kukosa akili ya maendeleo ndo kitu kinacho turudisha nyuma,angalia jinsi mataifa mengine wanavyotamani nchi ka tanzania,lakin viongoz wa nchi hii wamejaa tamaa na dhiki la pesa kiasi cha kudirik kuziuza maliasiri za nchi.umaskin tunautaka wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.