Recent content by Kapyangi

  1. K

    JamiiForums Tanzania Tuwaenzi na kuwakumbuka wanaJamiiForums waliotangulia mbele za haki

    Kalpana Yupo ila vpn inamsumbua. Atarudi soon
  2. K

    JamiiForums Tanzania Wana Simba Nina zawadi yenu ya wimbo huu mpya

    Nisaidie kutengeneza wimbo wangu kwa AI
  3. K

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Ninatafuta wimbo wa YAKI, ni mshaji wa Iringa. Wimbo unaitwa Mshkaji Wangu. Chorus yake inaimbwa "Yes,, ungenikubalia yote yasingetokea, Yes, bora ningekaa kimya kilichokuja tokea" Kuna verse anachana, "Unakumbuka shule, ulianza kama masihara, Day moja nilikuotea class na pack ya sigara...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu wa kufanya naye mazoezi ya kuimba

    Asante sana mkuu. Unaweza kunisaidia namna ya kupata hata mawasiliano yake?
  5. K

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu wa kufanya naye mazoezi ya kuimba

    Habarini wanajamvi. Natumaini mko salama na mnaendelea vizuri na pilikapilika za kutafuta riziki. Mimi ni kijana wa kiume, naishi Dar es Salaam. Mimi ni mdau wa muziki na mtunzi wa nyimbo ingawa napata changamoto ya kupata waimbaji. Ninatamani nijifunze kuimba pia, hivyo basi, kama kuna mdau...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Uwanja sawa, lakini Bil. 2 hapana!

    Kumbuka Mo ana nafasi (capacity) mbili, kwanza ni mwanachama/shabiki wa simba na pili ni muwekezaji. Swali la msingi la kujiuliza ni je Mo kachangia 2b kama nani? Kama amechangia hiyo hela kama mwekezaji basi una hoja ya msingi sana ila inabidi utupe authority ya kudhibitisha kuwa kachangia...
  7. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe wasioridhika, hakikisha asijue kipato chako

    In
  8. K

    JamiiForums Tanzania Jipatie Sembe na Dona safi

    JIPATIE SEMBE NA DONA SAFI NA KWA BEI NAFUU BEI Habari! Nauza unga safi wa sembe na dona kwa bei nafuu. Kwa wakazi wa Dar es Salaam unaletewa popote ulipo kwa bei hizo hapo chini. Kwa wakazi wa mikoani tutakuletea pia popote ulipo kwa ongezeko kidogo la bei kulingana na umbali wa mkoa ulipo...
  9. K

    JamiiForums Tanzania SoC01 Ushauri kwa waliomaliza Kidato cha 6 (baada ya matokeo): Nini cha kusomea Chuo Kikuu Kupambana na Soko la Ajira

    Ushauri mzuri kwa wanafunzi wa chuo watarajiwa. Wakizingatia watafanikiwa.
  10. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Am I wrong if I process divorce?

    Nimehisi huruma. Pole sana. Your marriage has broken down irreparably. It won't be wrong if you seek divorce
  11. K

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu yapandisha boom kutoka 8,000-10,000 kwa siku

    Mbona mwongozo wako (attached file) ni wa 2020/2021 issued 17th July 2020 na sio mwongozo wa 2021/2022?
  12. K

    JamiiForums Tanzania Simba hatarini kupokonywa kombe; TFF kufungiwa na FIFA kwa sababu ya Yanga

    Haiko hivyo mkuu, ingekua hivyo timu zingekua zinakosesha ubingwa timu nyingine kwa makusudi. Timu ukishindwa kutokea uwanjani ile game itachukuliwa kama imechezwa na timu iliyotokea uwanjani itapewa points tatu na magoli kadhaa kama kanuni inavyosema. Kwa Mfano yanga asipotekea uwanjani...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Simba hatarini kupokonywa kombe; TFF kufungiwa na FIFA kwa sababu ya Yanga

    Hiyo sentesi ya mwisho una authority? Kuhusu kanuni ya kubadilisha muda wa mchezo, kanuni ina exception ya emergence,(nenda kaisome yote, usiishie njiani) ambapo kukiwa na emergency hata kama imebaki dk moja mchezo unaweza sogezwa mbele au ratiba kubadilishwa. Una uhakika asilimia ngapi...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Simba hatarini kupokonywa kombe; TFF kufungiwa na FIFA kwa sababu ya Yanga

    Asante. Naomba pia ufafanuzi hapo kwenye kucheza mechi 38. Kwa Mfano timu ikacheza mechi 37, alafu mechi moja mpinzani wake akashindwa kutokea uwanjani. Una maana kuwa hiyo timu iliyocheza michezo 37 na ikawa na points nyingi kuliko timu zote haitakua bingwa kwa kushindwa kucheza mechi 38 ...
Back
Top Bottom