davetz28
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 543
- 617
Habari za asubuhi wanajamii wenzangu,poleni na hongereni kwa kazi za kujitafutia ridhiki za kila siku.
Nipo hapa leo kuomba msaada kwenu kama mada nilivyoitambulisha hapo juu.
Laptop yangu ilizima ghafla na baada ya kumpelekea fundi aliniambia tatizo lipo kwenye mother body ya laptop hiyo na aliniambia ili ifanye kazi ni lazima ninunie mother body nyingine.
Swali langu ni ie ufanisi wa komputa hiyo baada ya kubadilishwa utakuwa sawa au kuna matatizo gani mara nyingi komputa zikibadilishwa huibuka?
Je inaweza kudumu kwa muda mrefu au nianze tu mchakato wa kutafuta mpya?
Nahitaji mchango wenu wa mawazo,sielewi maana ni kama bado mpya.
Asante sana.
Nipo hapa leo kuomba msaada kwenu kama mada nilivyoitambulisha hapo juu.
Laptop yangu ilizima ghafla na baada ya kumpelekea fundi aliniambia tatizo lipo kwenye mother body ya laptop hiyo na aliniambia ili ifanye kazi ni lazima ninunie mother body nyingine.
Swali langu ni ie ufanisi wa komputa hiyo baada ya kubadilishwa utakuwa sawa au kuna matatizo gani mara nyingi komputa zikibadilishwa huibuka?
Je inaweza kudumu kwa muda mrefu au nianze tu mchakato wa kutafuta mpya?
Nahitaji mchango wenu wa mawazo,sielewi maana ni kama bado mpya.
Asante sana.