Haya wanajamii forum kila mtu achuje mawazo yake na comments zake. Ukweli ni kwamba kubatilisha matokeo ya form four ni interest za siasa. Matumizi ya viwango vipya vya ufaulu yalijadiliwa na kuafikiwa na wajumbe kadhaa serikali ikiwamo ikihusisha wazir wa elimu na naibu wake, wadau wa elimu...
ni jambo la kusikitisha na kuhuzunisha kuona elimu yetu ambayo ilijengewa misingi bora na imara sasa inaangamia. Ikumbukwe kuwa mwalimu julius kambarage aliifanya elimu ya tanzania kuonekana nzuri na yakuigwa na mataifa mengne ya jumuia ya afrika mashariki mfano, uganda, kenya nk. Lakini leo...
Hizo zote ni namna 2, ili serikal isafishike. walipotangaza matokeo kwa nini hawakulichunguza hilo! waache kutudanganya watanzania, ninauhakika kabisa kama matokeo yatakuwa standerdized, matokeo ya kidato cha sita 2015 ziro zitakuwa kwa 75%, lasivyo wasithubutu uchakachuz huo, tafathar muwakataze!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.