Gongo la Mboto, kituo Cha mwisho wa Lami pale Huwa wanachoma sana kuku....
Ukitaka mbuzi choma na nyama ya ng'ombe utapata pia...
Zaidi zaidi mbuzi na ng'ombe waweza pia kupata hapo Pugu Mnadani.....😀
Vibaya mnoo😂😂... Mpaka wife tulipoketi akawa ananinong'oneza kwamba vipi au umeonja kidogo?😂😂.... Me nikamwambia Sasa muda wote tuko pamoja tangu kanisani,.. Sasa nimeonja saa ngapi?...😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.