Habari mkuu Rakims , mi ni Moja ya watu wachache waliofaidika na elimu zako unazozitoa alhamudillah mungu akulipe nilikuwa nauliza
1. Kwa Nini majini yakitaka kupanda lazima wavalishwe vitambaa cheupe kijani bluu e.t.c? Zile rangi huwaga zina maana gani?
2.je, ni halali au haramu mtu...
Inawezekana Ila nafahamu kwenye Gmail tu kwa sababu ishawahi kunitokea kwenye account yangu miaka 8 iliyopita Ila inachukua mda mpaka waifungue wajiridhishe kweli yako
Sijajua Kama itafanya kazi kwa sababu privacy policy zinabadilika kila baada ya mda fulani
Inawezekana Ila sio kwa hizi kali za kawaida ingia google tafuta kali live image hiyo inakuwa ukichomia flash umeondoka na kila kitu then download version unayotaka alafu tengeneza bootable yake kisha endelea ku injoi maisha kabla hujafa chief
Mkuu Kuna watu wangapi Wana hizo degree wamefanya maajabu gani? Ili uwe mtamu inabidi ufikirie nje ya box hii kitu haitaji degree kiongozi Kama nakosea nirekebishe
Ni kweli 100% Ili uwe penetrater mnzuri Cha kwanza inabid ujue hiyo system inafanyaje kazi ukishajua ndipo utakapoweza kujua udhaifu uko wapi kwa uzoefu wangu hakuna hacker anayejua kudukua kila kitu hii ni kutokana na IT kuwa uwanja mpana sanaaa zaidi ya watu wengi wanabyofikiria isipokuwa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.