Wana jf,tukubal tukatae lowasa atashika dola tu,kwa upande mwingine me naona ni sawa tu...coz mnafikiri nani ataeweza shika kile kiti zaidi yak?lowasa anaweza akiwa waziri mkuu mnakumbuka juudi zake katika kukuza elimu.!!!!toka kaondoka nn kimefanyika na shule za kata!!
Jaman tuache siasa...
Jaman wangugu tuachen siasa let's focus on oher thinks kama hamna cha kuongea huku mana hizo ni habar za kidaku ss hii mada inachangia nn ktk maendeleo ya taifa!!!!!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kaka kwanza pole sana,ila wanawake wa siku hizi ni matatizo matupu...pesa yak achana nayo coz hataweza kukulipa wht if inge ivst hiyo hela sehem si ingekua imezalisha sna...achana naye linda heshma yk
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mmnamshangaa prof kwanini...wakati mnaona wamejiunga na ccm zanzibar..wao lao moja wanakoroga tu...mwakymb anafanya kazi hauzi sura
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Anguko la CCM ndo linakaribia hivyo...hata hao police wanatambua hilo...wakati ni ukuta bwana ukipambana nao utaumia...hivyo tusubir change has come
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.