Hatuko fair kumlinganisha Mwakyembe na Rostam. Mwakyembe anabebwa tu na baadhi ya vyombo vya habari kutokana na mvuto wake kama msomi na mwanasiasa. Rostam ni mmiliki mkubwa kupita wote wa vyombo vya habari Tanzania: ana miliki magazeti ya Mtanzania, RAI, Dimba, the African, TAZAMA, Mwananchi...