Hana huo uwezo bro. Mahakama pekee ndo inauwezo huo au rais kupitia misamaha yake jamani magereza isikieni tu kwanza mnahesaviwa most of the time hii yote ni kutowaamini watuhumiwa na wafungwa
Unajua watu ambao hawajawahi kukaa gerezani huwa wanadanganyana sana tena sana. Yani hakuna askari wasio aminiana kama wa magereza na hakuna askari magereza anae mwamini mfungwa hata uwe mpole na mstarabu kiasi gani gerezani mfungwa anatoka na askari nje dakika tatu nyingi ukirudi lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.