Mara ya mwisho tulikuwa tunatumia kadi, ule mradi ukafa, sasa hivi mnatulazimisha kuntumia kadi ilhali pesa zetu zilipotea, kwa nini wanaoweza kutumia kadi mpya watumie na wasioweza watumie tiket?
Pili, kwa wakazi wa kigamboni wanatumia kadi, kwanini kadi hizo hizo zisitumike kwenye mwendokasi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.