tatizo la sasa vijana wengi si waelewa. hata ukieleza sera nzuri kiasigani wao wanataka chama kibadilike tu. kama tutaibiwa, kama maendeleo yataletwa, kama hali itakuwa nzuri au mbaya hawaelewii bwana. wanataka kubadili chama tu. madogo wamiaka ya 90 hawaelewi. hata siku ya kupiga kura wataamka...