waliojiandikisha kupiga kura mil 20137,303.waliopiga kura ni mil 8626,283.zaidi ya raia mil 11 hawakupiga kura,hv ccm wanajua wale mil 11 kwa nn hawakupiga kura?hv ccm wanajua kwamba hao raia mil 11 mwaka huu wamepata mbadala wa uhakika na watajitokeza kwa hasira kupiga kura?jumlisha wale waliopigia kura upinzani ambao ni kati ya wale mil 8? jumlisha damu mpya ya dot com?ndo maana lowasa ana uhakika tar 25/10/2015 ushindi ni asubuhi na mapema.