Kwa Kibatala hata mimi nakubaliana nawe. Huyu ni Hazina kubwa kwa nchi.
(Anajua kujenga hoja zenye mashiko bila jazba, Ana-knowledge ya mambo mengi hata ya nje ya sheria pia ni mvumilivu)
Simba imebakisha mechi mbili tu. Kisha itaruhusu wachezaji wakasalimie familia zao kabla ya kurudi Tena kujiandaa na pre season
Hiyo game ya tar 25 icheze Ikulu fc na Yanga.
Mbona walishawajulisha mashabiki kuwa hawatacheza Michezo wowote iwapo huu wa tar 15 ukiahirishwa.
Wewe unataka watoe tangazo mara mbili?
Simba wana akili kubwa. Huwa wanatoa tangazo Moja tu Kisha wanakaa kimya.
Mama Samia ambae ni shabiki wa Yanga, kaingiliq masuala ya Michezo kinyume na...
Hilo eneo mtu wangu wa Karibu ameniambia Kuna Hoteli kubwa ya kifahari. Ukiwa humo ndani unaweza kuona Hadi mahali walipo wannyama Kwa kuangalia screen na CCTV camera zilizopo mbugani Serengeti.
Ni Hoteli ya ghali sana. Wanaingia watu matajiri na viongozi wa juu wa nje ya nchi.
Pia Kuna...
Sasa huyo kiongozi alieamrisha mageti ya uwanja yasifunguliwe mbona tulimsikia akitamba huko bungeni kuwa Hatuchezi.
Ni mjumbe kwenye Kamati za timu ya Yanga
Pia anaifadhili Singida big stars
*Fifa inaweza kutufungia Kwa sababu huyu ni kiongozi wa Serekali ameingilia mambo ya Michezo Kwa...
Staili ya Maisha hazifanani. Kila familia Ina aina yake ya kuendesha Maisha.
Zipo Ndoa zinaishi vizuri utazani wapo peponi. Zipo nyingine wanapitia machungu muda wao wote
Mmomonyoko wa maadili Kwa kizazi Cha Sasa unaweza pia kuiona Staili ya huyu jamaa ikawa ni Bora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.