Recent content by KANYIMBI

  1. KANYIMBI

    Hivi mashabiki wa Yanga hatuwezi kufanya mandamano ili CAF wapate ujumbe kuwa tumeonewa

    Naunga mkono hoja. Kama vipi tukutane pale Jangwani tuanze maandamano ya amani na mabango yetu Hadi Ikulu Kwa Mama. Ili mradi tu tufikishe ujumbe ili FIFA wapate ujumbe. Pia tutumie nafasi hiyo kumshukuru Mama Kwa kutulipia nauli na posho mashabiki tulioenda South kucheki game.
  2. KANYIMBI

    Nilichokiona uwanja Wa Taifa Al Ahly asipeleke Timu yaani anaenda kufungwa goal 4+

    Simba na Yanga zinashinda hizi mechi za Leo na kesho. Kwa kuwa wameamua kuacha Kila mtu ajitegemee na shughuli zake. Kikinge kilichosaidia ni Kwa vile zote bado zipo kwenye mashindano. Hakuna aliyetolewa mapema ambaye angekuwa kizingiti Cha mwingine.
  3. KANYIMBI

    Tahasusi za masomo ya A-Level: Kutoka 16 HADI 65, tumpongeze waziri au tumuhoji?

    Inashangaza Kwa kweli. Kwa mujibi wa kauli ya Rais J.K. Nyerere, ni kwamba Serekali Haina Dini. Na kitu kingine hapo kwenye Taasusi ya Biashara C: No. 27 Kwa nini waingize Dini ya kiislam pekee kwenye combi ya Biashara?Au ni njia ya kupenya masoko ya Uarabuni? Wakati Masomo yote ya Taasusi ya...
  4. KANYIMBI

    Kwa majeruhi haya ya Wachezaji tegemezi, Mamelodi Sundowns anakuja kufanya Mauaji ya Kishalubela Dar kwa Mkapa

    Game ya Yanga vs Mamelod itachechezwa march 30. Hivyo bado kuna siku 10 za wachezaji wa Yanga kutibiwa na kupona. Jambo zuri ni kwamba Yanga haitacheza mechi nyingine ya ligi wiki hii hadi imalizane na Mamelod
  5. KANYIMBI

    Ni wakina nani walitaka Samia asiapishwe Rais wa Tanzania? Walitaka nani aapishwe? Kama CDF asingesimama imara nini kingetokea?

    Nimejikuta namkumbuka Spika Ndugai. Jamaa alikuwa hamkubali Rais Mwanamke. Akaja kuliwa kichwa
  6. KANYIMBI

    Robo Fainali CAFCL: Simba kukutana na Al Ahly, Yanga yapangwa na Mamelodi Sundowns

    Timu za Bongo kwenye hatua hii hatuna Cha kupoteza. Tunamtaka huyu Mamelod ili nae aonje joto la Kwa Mkapa stadium. Akicheza na Yanga au Simba ni burudani tosha tu
  7. KANYIMBI

    Kwanini haki za Wanaume na Wanawake hazipo sawa

    Hii tabia ya kutetea haki za mwanamke ndiyo inayosababisha janga la wanawake kutoolewa Mfano Binti aliyepata haki ya elimu akasoma hadi akawa na Masters anajiweka kwenye ugumu wa kuja kuolewa labda abahatike kumpata mume mwenye elimu kama yake. Wanaume wengi tupo kwenye mfumo Dume hata vitabu...
  8. KANYIMBI

    Dube: Viongozi wa Azam wanashabikia timu mnayocheza nayo

    Sio TFF tu. Ni utamaduni wetu nchi hii, usipokuwa Simba basi utaipenda Yanga.
  9. KANYIMBI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sportybet 32CF8BC odds 10 1B0AF5F odds 115 - Remix
  10. KANYIMBI

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    5E2761A 0dds 150 (Sportybet - Basket)
  11. KANYIMBI

    FT: Simba SC 6-0 Jwaneng Galaxy | Benjamin Mkapa Stadium | 02.03.2024. 19:00 EAT | Simba yafuzu Robo Fainali

    Kuna vimanyunyu kiasi vimenyesha Leo mchana. Hii ni dalili ya ushindi Kwa Simba na kuzidiwa nguvu Kwa Yale Majini waliosaidiwa kambi Kule Avic town Kigamboni. Natamani tukutane wenyewe Kwa wenyewe Nusu fainali.
  12. KANYIMBI

    FT: Yanga SC 4-0 CR Belouizdad | CAF CL | Benjamin Mkapa Stadium | 24.02.2024 | Yanga yafuzu Robo Fainali

    Jini la Magoli limeondolewa Kwa Mayele na Sasa linatembea na Mudadhir
  13. KANYIMBI

    Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

    Safi sana, kama unaushahidi waliohusuka kuyatuma Yale majini Yao. Mtafanya vizuri Leo kuyadhibiti hayo madude Yao. Kama mbwai na iwe mbwai tu
  14. KANYIMBI

    Raia muombolezaji apigwa ngumi na mlinzi wa msafara wa Lowassa

    Kumbe ni heri ya wale walioamua kwenda kuandamana Kwa amani. Mtu anasogea barabarani kumuaga Mbunge wake wa Zamani, anaambulia ngumi! Inasikitisha sana
Back
Top Bottom