Naunga mkono hoja.
Kama vipi tukutane pale Jangwani tuanze maandamano ya amani na mabango yetu Hadi Ikulu Kwa Mama.
Ili mradi tu tufikishe ujumbe ili FIFA wapate ujumbe.
Pia tutumie nafasi hiyo kumshukuru Mama Kwa kutulipia nauli na posho mashabiki tulioenda South kucheki game.
Simba na Yanga zinashinda hizi mechi za Leo na kesho.
Kwa kuwa wameamua kuacha Kila mtu ajitegemee na shughuli zake.
Kikinge kilichosaidia ni Kwa vile zote bado zipo kwenye mashindano. Hakuna aliyetolewa mapema ambaye angekuwa kizingiti Cha mwingine.
Inashangaza Kwa kweli.
Kwa mujibi wa kauli ya Rais J.K. Nyerere, ni kwamba Serekali Haina Dini.
Na kitu kingine hapo kwenye Taasusi ya Biashara C: No. 27 Kwa nini waingize Dini ya kiislam pekee kwenye combi ya Biashara?Au ni njia ya kupenya masoko ya Uarabuni?
Wakati Masomo yote ya Taasusi ya...
Game ya Yanga vs Mamelod itachechezwa march 30.
Hivyo bado kuna siku 10 za wachezaji wa Yanga kutibiwa na kupona. Jambo zuri ni kwamba Yanga haitacheza mechi nyingine ya ligi wiki hii hadi imalizane na Mamelod
Timu za Bongo kwenye hatua hii hatuna Cha kupoteza.
Tunamtaka huyu Mamelod ili nae aonje joto la Kwa Mkapa stadium.
Akicheza na Yanga au Simba ni burudani tosha tu
Hii tabia ya kutetea haki za mwanamke ndiyo inayosababisha janga la wanawake kutoolewa
Mfano Binti aliyepata haki ya elimu akasoma hadi akawa na Masters anajiweka kwenye ugumu wa kuja kuolewa labda abahatike kumpata mume mwenye elimu kama yake.
Wanaume wengi tupo kwenye mfumo Dume hata vitabu...
Kuna vimanyunyu kiasi vimenyesha Leo mchana.
Hii ni dalili ya ushindi Kwa Simba na kuzidiwa nguvu Kwa Yale Majini waliosaidiwa kambi Kule Avic town Kigamboni.
Natamani tukutane wenyewe Kwa wenyewe Nusu fainali.
Kumbe ni heri ya wale walioamua kwenda kuandamana Kwa amani.
Mtu anasogea barabarani kumuaga Mbunge wake wa Zamani, anaambulia ngumi! Inasikitisha sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.