Haya yote kwenye fomu ya mkopo yanaonekana na ndugu yangu amesoma private kuanzia shule ya m.singi had high school lkn amepewa mkopo kwa sababu sasa hivi ni Yatima
Kama mradi ulianza wkt wa jk na ukakamilika wakat wa Magu wote wakiwa chini ya CCM sioni kama kuna shida yeye Magu akifanye uzinduzi au nia yenu ni angekuja JK mwenyew azindue mrad ndo muwe na Furaha?..kijiti ameshapokea Magu acha akikimbize
Nauliza juu ya biashara ya vifaa vya viatu..kuanzia kamba,soli na rangi mbali mbali za viatu je inalipa?na ivo vifaa naweza vipata wap kwa bei ya jumla?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.