Recent content by Kantalandwa

  1. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania Mabango yenye picha ya Samia Suluhu yalifuata nini kwenye mechi ya Simba na Yanga Uwanja wa Mkapa?

    Umeanza vizuri sana ila umekosea kumalizia unapoanza kufananisha tamaduni ya nchi moja na nyingine. Acha kwa kuishi kwa kufuata nini kimefanyika wapi. Laiti mataifa hayo yangefuata kile nchi nyingine inachofanya, dunia isingekua hapa ilipo. Ndio maana kuna ushindani wa ubunifu kila kunapo kucha.
  2. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania Kuchafua taswira ya Mkuu wa nchi huwezi baki salama!

    Watakemea wakati walikua wanashangilia. Nashangaa hata mzee wa busara Freeman katulia.
  3. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania Tanzania inagombana na Mungu, inaenda kulaanika

    Mungu gani aliweka hii pasaka? Wewe ongea ulichotaka kusema Ila sio sababu kwamba tutapata laana, Hii pasaka imewekwa na wachache, pasaka yafaa kuliwa wakati wowote ule kwa ajili ya kumbukizi ya Kifo cha Kristo sio lazima kwa kalenda flani flani. Fuata na tii sheria za nchi na Mungu atakubariki...
  4. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania Amity university / UDSM Online course

    Bachelor of computer Application
  5. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania Amity university / UDSM Online course

    Angalia kupia center for Virtual Learning-University of Dar es Salaam.
  6. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania Amity university / UDSM Online course

    Mwezi wa Saba zitafunguliwa tena, Mimi pia nataka kupiga BCA
  7. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kuwa approved na approver ili kupata check number na kuanza kupata mshahara endapo taarifa zako zimeisha tumwa

    Habari wataalamu wa mambo! Inachukua muda gani kuwa approved na approver ili kupata check number na kuanza kupata mshahara endapo taarifa zako zimeisha tumwa. Asante
  8. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania Suphian Juma: Nimeng'atuka ACT Wazalendo

    Msimamo gani wewe wote wale wale au umesahau kubadili gia angani.
  9. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania Robert Amsterdam: Hali ya kisiasa Tanzania kujadiliwa katika Bunge la Ulaya kesho Alhamisi

    Kwanza walidai kaalikwa bunge la EU, Lissu mwenyewe akakanusha, hivyo Hawa wafuasi wa huyu bwana ni wakupuuza tu, ukiona post yao wewe isome alafu tabasamu kisha kunywa maji barid na uendelee na kusoma reply zao huku ukifurahi wanavyo jipa moyo.
  10. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dkt. Tulia Ackson: Siamini kama Matokeo yatakuja tofauti na ninavyotarajia

    Ila mwitikio ukiwa upande wa Chadema, nikigezo cha kushinda,😀
  11. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tundu Lissu kuteta na Mabalozi wanaowakilisha nchi zao Tanzania

    Comment kama hii wafuasi wa CDM hua wanavaa miwani ya mbao huwezi kuona reply yao💪
  12. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ndugu Tundu Antipas Lissu, mgombea bora wa urais kuwahi kutokea Tanzania

    Nisawa kabisa kauli hii si mpya maskioni mwetu, hivyo hata mtakae mleta tena 2025 atakua bora kuwahi kutokea
  13. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mkurugenzi wa Uchaguzi NEC: Watanzania hawataki mtu atakayeuza madini yao kwa wageni nje

    Kwahiyo nikweli mnafahamu upinzani lengo kuu nikutoreshea huko kwa povu hili sindio?
  14. Kantalandwa

    JamiiForums Tanzania Kishindo cha Rais Magufuli katika Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa

    Miaka mitano ya Magufuri ndio kumekua na makampuni (agents) wengi wakuagiza mizigo na magari nje ya nchi, na watu wanaagiza kila iitwapo leo. Hii nitafsiri tosha kua tunakua kiuchumi na hata kwa pato la mtu mmoja mmoja.
Back
Top Bottom