Arrogant Atheist sio?
Hivi serious unaamini sayansi inauwezo wa kuelezea kila tukio linatokea ulimwenguni?
Kundi kubwa la watu kwenye huu uzi bro wanashuhudia walioyaona au waliosikia,Je wote wanaweza vipi wakawa wazushi?
Ume suggest methodology yako ya kuthibitisha uchawi upo kea kutaka watu...
Kaka hio approach utatumia mda mrefu.....bila ya mtu kuziona codes ulizotumia Ni vigumu Sana kukusaidia.....ataishia kukwambia tu ubadilishe muonekano....
Badilisha front end Kaka,utumie framework zinatakazo fanya site iwe responsive plus Best design.....(Na recommend Bootstrap)..
Kama ukihitaji niifanye io kazi...nicheck namba zangu zipo hapo juu
Chief nimeichek website yako....mna wazo zuri sema mmekosa technology sahihi haswa upande wa Front end ambao ni muhimu kwa furaha ya mtumiaji(User experience)
Kama Mme design kwa kutumia codes zenu wenyewe nitumie pm credentials za cpanel yako nikurekebishie hio front end(iliopo Sasa haifai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.