Nashkuru nilianza na hii hatua nikakumbana na urasimu mwingi sana bila mafanikio zaidi ya ahadi hewa na dalili za utapeli ila nitarudia tena kwa kuface watu wapya maana hakuna ninaye fahamiana nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jamvi, kama mada ilivyo hapo juu mimi ni kijana ambaye kwa sasa sina ajira baada ya kuathiriwa na janga la corona.
Nilikua sekta ya utalii pori la akiba selous na kwa sasa nipo Dar na familia yangu barabara ya Goba tokea Mbez Luis.
Nimeona namna ya kuishi ni kufanya biashara ya...
Habar wana JF, mke wangu alijifungua miezi mitano iliyopita (mwez wa 7) na akaongezewa njia kwa kua njia ilikua ndogo baada ya hapo aya maumivu hayajakoma akigusa ilo eneo anapata maumivu nin tufanye maana hospital walisema yataisha yenyewe
Wakuu habari za majukumu,
Nina kiwanja cha 20*20 apa Dar na nina milioni 5 tu naomba wajuzi wanipe ramani simple ya bed room 2, sitting room, choo cha public na kitchen ya kizushi kama itawezekana. Sihitaji master bed room wala dining.
Mimi ni Kijana umri miaka 32 Kwa muda wa Wiki nzima mfululizo ninapata maumivu makali kwenye nyonga yanashuka mpaka kwenye paja natembea kwa shida sana.
Naombeni msaada kwa wenye uelewa na haya mambo maana hii hali inanipa shida sana kutembea kuelekea kwenye mihangaiko na maumivu makali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.