kankara
Member
- Jul 19, 2014
- 25
- 17
Mimi ni Kijana umri miaka 32 Kwa muda wa Wiki nzima mfululizo ninapata maumivu makali kwenye nyonga yanashuka mpaka kwenye paja natembea kwa shida sana.
Naombeni msaada kwa wenye uelewa na haya mambo maana hii hali inanipa shida sana kutembea kuelekea kwenye mihangaiko na maumivu makali.
Naombeni msaada kwa wenye uelewa na haya mambo maana hii hali inanipa shida sana kutembea kuelekea kwenye mihangaiko na maumivu makali.