Recent content by kanje.

  1. K

    Nani kalipia muda wa maongezi wa Kingunge N. Mwiru?

    Aliyelipia wa Dr. slaa ndo kalipia w kingunge bosi
  2. K

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    kaka naomba nikusaidie kidogo binadamu wa kwanza aliish kulingana na life experience thow hakwenda shule aliish kama muwindaji maisha yakaendelea kubadilika akaachana na kuwinda akaanza kufuga akaacha kuhanagaika huku na kule akaanzisha familia aka setle saaa basi kutokana na changamoto za...
  3. K

    Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

    Dr slaaa si ni padre kwanini awaponde maaskofu ambao kimsingi ni walezi wake wa kiroho kwa mambo ya kisiasa
  4. K

    Kama chama hakimiliki jengo lake, kinawezaje kuwatumikia wananchi kwa ukamilifu?

    Acha fikra potofu. ofisi sio inayoongoza watu bali watu wanongozwa na watu. Mfano kidogo mimi ni mkristu Alipokuja kwetu Bwana wetu Yesu Kristuu sikuwahikusikia au Kusoma popote kuwa alikuwa na ofisi Think big brow hizo siasa za kishamba nilitegemea uje hapa jamvin na uzi unao onyesha ni jinsi...
  5. K

    UCHAMBUZI: CCM yasoma alama ya Nyakati, UKAWA waendeleza status quo

    July pole sana kwa kuumiza akili alafu ukaishia kuandika ushuzi. nasikitika kuwa na kijana kama wewe asie jali kesho wala kuwahurumia watanzania wenzake ambao tumefika hapa tulipo leo kwasababu tu ya kukumabatia mafisadi eti kwasababu kuna kitu kidogo tunapata kwa ajili ya kushibisha matumbo...
  6. K

    Vyuo vikuu wampendekeza January Makamba kuwa Rais ajaye

    Hata sijaisoma habari yenyewe kwa sabau haina Mashiko. badala ya kujadili mustakabali wa Taifa tunakaa kujadili mabo ya january makamba huu ni upumbavu
  7. K

    Tundu Lissu: Tutazipima kauli za Kikwete kwenye Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala!

    sasa dada unamuuliza nani wakati umeshaambiwa hawakushirikishwa muulize mzee wa kuambiwa awaulize waliomdanganya
  8. K

    Only In Tanzania Wabunge 46 Wanaweza Kuwa na Mandate ya Wananchi Over Wabunge 280!!

    Unafikiri kwa vile baba ako alikuwa kiongozi na wewe waweza kuwa kiongozi. Umaskini wa fikra hata mtu mmja anaweza akawa na say over 40milion people,licha ya hao wabunge wenu uliosema 280vilaza. hatuwezi kuongozana kwa mazoea mazoea ni lazima tufike mahali tuongozwe kwa misingi ya sheria
  9. K

    "Nipo tayari kugombea URAIS endapo wananchi WATANICHAGUA."..Mwigulu Nchemba

    Over my dead body he will never be my president
  10. K

    UVCCM Taifa hakukaliki M/kiti kung'olewa?

    utawaweza vijana wetu hawa? Ndo viongozi lakini! Kitu factory inatoa viongozi wa kesho mh! Kina napemh! Shigela mh!kazi ipo
  11. K

    Ukweli kuhusu Mtela Mwampamba

    Njaa ni mbaya sana na kwa kawaida huwa (physiologically) mwanaume huwa anatumia part moja ya brain to decide things of which he comes up with bright and wise consensus never mind nadhan mwampamba hukutumia part yako moja ya brain rather you used two parts like a woman na maana kwamba kule...
  12. K

    Wazanzibar wafunguka kuhusu Dr. Slaa; Wamesema hana sifa za kuwa kiongozi bora!

    huwa sikuzote natafakary HAMY D nimtu yukoje ila napatajibu ninapo itazamapicha aliyotumia kama profile yake nivyo akili zake zilivyo your such a freak jerk :disapointed:
  13. K

    CHADEMA inavyoliangamiza Taifa!

    Nina mashaka na ufinyu wa fikra za huyu mleta hii mada. Sina uhakika sana kama aliwaza alichokiandika kwani heading na kilichopo ndani ya mada ni vitu viwili tofauti kabisa, naomba asinielewe vibaya kama alivyo kwisha athirika kisaikolojia, kwamba atakae kwenda kinyume na mtazamo wake, basi ni...
Back
Top Bottom