Recent content by Kangosha

  1. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Salma Kikwete: Rais Samia ni mchapakazi anayetambulika duniani

    Kangi njoo chukua hii chawa
  2. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kangi: Bunge, Mahakama, na vyombo vya Dola viwe huru

    Mzee wangu Lugola Una uhakika vyombo vya dola vikiwa huru unarudi Bungeni?.!.
  3. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Awakomba Maelfu ya Vijana Mitaani Na kuwapa Ajira Nono serikalini. Ni Tabasamu na Furaha tu kwa vijana na Wazazi

    Hawa ndio watu Kangi Lugola kasema inabidi wazibitiwe. Maana wanaharibu nchi
  4. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Wanaofikiria kumhujumu na kumkwamisha Rais wetu wanajisumbua

    Ikiwa umeshika dini naamini unajua kuwa Shetani huwa ana wafuasi wake. So usishangae huyu jamaa kumshadadia Samia. Shetani kapata wafuasi wanaomtetea.
  5. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Abdul Malik acha dharau kiasi hicho kwa Watanzania. Egypt nayo ni Afrika na sisi siyo Hopeless

    Ngoja Waislam wenzie waTZ wamsikie. Watasema katumwa na makafiri.
  6. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Mbunge Shabiby: Wananchi wa sasa hivi si wajinga, wanajua kabisa hili jengo ni la fulani, huyu yupo serikalini ni mwizi aliyekubuu

    Kwenye suala la ufisadi na rushwa litazidi kuwa baya endapo Mkurugenzi wa Takukuru ataendelea kuchaguliwa na Rais. Tuliopo background tunajua na tunaona jinsi watu na watendaji wa karibu na raisi wanavyoitafuna hii nchi.
  7. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Kumbe CCM waoga kuliko Museveni?

    Siku CCM wakiruhusu kuwe na uchaguzi huru na wa haki ndio itakuwa mwanzo wa anguko lake. Ushindi wa CCM 90% ni wizi wa kura na msaada wa vyombo vya dola.
  8. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuhama Catholic

    Ila linauza maombi. Yale maombi yanayoletwa na waumini huwa wanalipia ili yatangazwe.
  9. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuhama Catholic

    Ijumaa kuu wanavyosemaga inafuata Ibada ya kuabudu msalaba huwa inamaanisha nini?!. Maana ndio ule muda tunaenda kubusu msalaba wenye sanamu anayesemekana ni yesu
  10. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuhama Catholic

    Pole sana. Mimi mwenyewe nna changamoto na Kanisa katoliki ambayo ni Asili ya wazazi wangu ila sio kwa sadaka. Mimi Yale masanamu na mapicha ya Yesu na Maria huwa yananikwaza sana. Kwa ushauri wangu Bora ubaki katoliki ila uwe na itikadi zako za kutokufuata baadhi ya mambo yao. Maana hakuna...
  11. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Kama Boko Haram target yao ni Wakristo, Waislamu waliolipuliwa msikitini hapo Nigeria, nani ni mhusika?

    Kwani ule mlipuko wa Pakistan mwezi September 2025 nani alikuwa mhusika?.
  12. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Quran ya Allah ni kitabu kisichokuwa na shaka

    Huyo allah wenu aliyewafundisha chuki na fujo kwa watu wengine. Hivi alishindwa nini kuwauwa watu wasio waislam hadi awaambie nyie muwaue!!.? Maana kila uchao wanazaliwa wasio waislam. Yaani katika Iman za hovyo zilizopo duniani Islam is no.1. Dini gani hii inayohamasisha mauaji Kwa binadamu...
  13. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Sheikh aliyesema Waislam wasile chakula cha Wakristo pia awashauri wasitumie Kalenda ya Wakristo

    Wasitutishe hao wapuuzi. Basi wakatae kila kitu kilichotokana na Wakristo. Sio kubagua baadhi ya vitu tu
  14. Kangosha

    JamiiForums Tanzania Majibu ya chakula cha sikukuu za kidini

    Yaani Mudi alihuburi chuki tu.
Back
Top Bottom